Mbegu ya dragon na kiwi inahitajika

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Anyaehitaji yupo Mwanza. Anahitaji kidogo ya kwenda kujaribisha kwenye shamba lake.

Kama unafahamu inakopatikana naomba taarifa tafadhali.

Muhusika si member humu, kwa hiyo ni muhimu kuweka bei na mawasiliano, hasa y simu.

Natarajia kumpa mrejesho Usiku wa Jumatatu, 13/11/2023.

πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Kiwi ndo hiyo
 

Attachments

  • Kiwi_(Actinidia_chinensis)_1_Luc_Viatour.jpg
    529.6 KB · Views: 5
Pitia hapa
Thread 'Wapi hapa Tanzania yanalimwa matunda ya kiwi?' Wapi hapa Tanzania yanalimwa matunda ya kiwi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…