Mbegu za kiafrika Vz Mbegu za kizungu

utafuti upi na majibu feki kama haya?
 
Ngoja tukazae tuone.
Ila mimi wapo nawafahamu ni waupe pyee!
 

Chukua rangi ya kawaida tu nyeusi na nyuepe then changanya kwa kiasi kinachofanana uone utakachopata. Lazima rangi nyeusi itaitibua nyeupe. Weupe hauwezi kuhimili weusi. Kwa theory hiyo, mimi sishangai kuona damu ya black ni kali zaidi ya white.
 
Nina wasiwasi sana huo utafiti wako ambao umepelekea hiyo conclusion ambayo nadhani ina walakini. Kwa mfano, huo utafiti wako umeufanyia sehemu gani, na umehusisha watu wangapi mpaka ukatamatisha hivyo. Je sample zako zilihushisha nchi kama U.S.A na Brazil, nchi ambazo nadhani ndio zinazoongoza kwa mix-mariages (MISCEGENATION) dunian.

Nasema hivyo kwa sababu, binafsi nimewaona watoto wengi wa mix ya baba mzungu na mama mweusi na ambayo watoto (sio moja tu) wamechukuwa rangi ya baba na moja wa kike akazaliwa kama mama yake ki rangi. Ndio maana sikubaliani na hiyo conclusion yako.
 
inategemea kama Mary Chitanda ni mzungu au mwafrica
 
Black or white!!!!! yeeeyeeyee michael jackson
 

Ameongelea walio wengi, ndio maana ya utafiti sampling! ila hata mimi najua pale Kijitonyama yule jamaa alikuwa na mzungu watoto wake ni wazungu pure au ndio Mtoto kazaliwa Mhindi, mtoto kazaliwa mwarabu huo wimbo bado upo?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…