mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,970
Wadau,
Nami nimeamua kujitosa kulima katika msimu huu, shamba alangu liko kisarawe, nahitaji mbegu za mahindi ambazo ni za muda mfupi kwani mwaka huu inaonekana mvua zitanyesha kwa muda mfupi.
Nilikuwa kama kuna agent au yeyote mwenye kuhusika na uuzaji wa pembejeo aweke mawasiliano yake hapa,hasa kwa wale walioko dar es salaam.
Nami nimeamua kujitosa kulima katika msimu huu, shamba alangu liko kisarawe, nahitaji mbegu za mahindi ambazo ni za muda mfupi kwani mwaka huu inaonekana mvua zitanyesha kwa muda mfupi.
Nilikuwa kama kuna agent au yeyote mwenye kuhusika na uuzaji wa pembejeo aweke mawasiliano yake hapa,hasa kwa wale walioko dar es salaam.