Nilipenda kweli kuchangia hapa lakini kwa sasa sina jibu zuri, ila mwisho wa mwezi huu hadi mwanzoni mwa machi kwenye tarehe kama tatu hivi nitakuwa na jibu la swali lako maana natarajia kwenda chuo cha kilimo Ilonga kupata ufafanuzi wa haya makitu.Wadau,
Nami nimeamua kujitosa kulima katika msimu huu, shamba alangu liko kisarawe, nahitaji mbegu za mahindi ambazo ni za muda mfupi kwani mwaka huu inaonekana mvua zitanyesha kwa muda mfupi.
Nilikuwa kama kuna agent au yeyote mwenye kuhusika na uuzaji wa pembejeo aweke mawasiliano yake hapa,hasa kwa wale walioko dar es salaam.
Wadau,
Nami nimeamua kujitosa kulima katika msimu huu, shamba alangu liko kisarawe, nahitaji mbegu za mahindi ambazo ni za muda mfupi kwani mwaka huu inaonekana mvua zitanyesha kwa muda mfupi.
Nilikuwa kama kuna agent au yeyote mwenye kuhusika na uuzaji wa pembejeo aweke mawasiliano yake hapa,hasa kwa wale walioko dar es salaam.
Nilipenda kweli kuchangia hapa lakini kwa sasa sina jibu zuri, ila mwisho wa mwezi huu hadi mwanzoni mwa machi kwenye tarehe kama tatu hivi nitakuwa na jibu la swali lako maana natarajia kwenda chuo cha kilimo Ilonga kupata ufafanuzi wa haya makitu.