Mbegu za majani Mchunga zinapatikanaje?

Joined
Feb 12, 2017
Posts
12
Reaction score
6
Majani haya yaitwayo mchunga hupendwa sana kuliwa na sungura kwani ni machungu,japo baadhi ya watu huyatumia kama mboga.je kuna upatikanaji wa mbegu zake katika maduka ya pembejeo?
 
Nilipokuwa singida yalikuwa yanapatikana kwa wingi,kwa sasa nipo ukerewe yanapatikana kiasi,nilikuwa nauliza upatikanaji wa mbegu kusudi nilime mwenyewe.
 
Ok ...
Ndio sababu wewe ni mtaalamu sana wa mambo ya ulozi/ndumba.
 
Mkuu huu mmea ukikomaa unatoa maua ya njano ndani yake Kuna mbegu, vuna maua kabla ya halijakauka Kisha unalikausha kwa kuweka juani likiwa ndani ya karatasi (mbegu zake Zina asili ya kupeperuka na upepo).

Ukiwa na haraka chimbua mmea ukiwa na mzizi wake kata shina majani yabaki kama manne Kisha panda.
Mbegu yake umepataje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…