kadogoo wakwetu
Member
- Feb 12, 2017
- 12
- 6
Ndio kwenu huko mkuu???Tanga yapo kibao
Ndio kakaNdio kwenu huko mkuu???
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji115]Ok ...
Ndio sababu wewe ni mtaalamu sana wa mambo ya ulozi/ndumba.
Rudi Singida uchukue mbegu.Nilipokuwa singida yalikuwa yanapatikana kwa wingi,kwa sasa nipo ukerewe yanapatikana kiasi,nilikuwa nauliza upatikanaji wa mbegu kusudi nilime mwenyewe.
Mkuu hiyo ni mboga yetu, mbegu zake unangoja yale maua ya njano yakikauka yanakuwa na mbegu nyeusi.
Mbegu yake umepatajeView attachment 2224117
Nimejaribu, imewezekana!
Mbegu yake umepataje