Mbegu za papai kiboko ya wanawake, hurefusha uume na kuongeza nguvu

Mbegu za papai kiboko ya wanawake, hurefusha uume na kuongeza nguvu

dickdickinyo

Senior Member
Joined
May 19, 2015
Posts
118
Reaction score
52
Mbegu hizi za papai,unazianika juani then zikishakauka zichemshe kwanza kwa major then changanya na maziwa fresh zichemke pamoja kisha kunywa huo mchanganyiko kutwa Mara mbili.Hiyo ni kuongeza nguvu kama za simba.

Kwa kurefusha na kunenepesha chukua zisizokauka za mpapai changanya na maji kisha zisugue katika uume hadi mbegu zipasuke.Zoezi hili lifanyike hadi siku utakayoona saizi ya uume imefikia viwango unavyohitaji.

Maisha mbona simple mnacomplicate tu
 
Du hii kali sana, kama zina madhara utaumiza wengi
 
dickdickinyo

Du kusugua kwny uume tena, si utachubuka mkuu? Vp ulishajaribu utupe mrejesho?
 
Last edited by a moderator:
dickdickinyo

Hii kitu kiboko mkuu,mimi nimeshaitest sasa hivi nina dushe kama la punda....teh teeehh teeeeehhhhh!!!.
 
Last edited by a moderator:
Msijaribu njia hii.Mkuu usiwadanganye wadau.Linda heshima ya jukwaa hili.Humu kuna taaluma za watu usipotoshe jamii.
 
WEWE IMEKUSAIDIA... mhh acha kupotosha..wanaume tulieni na maumbile yenu..mtakuja pewa sumu ya mamba...
 
duh hii kama ni sumu wataumia wengi sana mkuu kwa ushauri wako huu
 
mmh hiyo dawa naskia inaconvert chikichio kuwa kibamia so don try this
 
Back
Top Bottom