Mbegu za Safflower

Mbegu za Safflower

Davito

New Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
1
Reaction score
0
F2EB457D-3E08-4B27-82CB-1C77052CFF90.jpeg

Hello Wana JF

Naombeni msaada wa ushauri, mawazo au maelekezo wa mahali au wauzaji wa mbegu za Safflower kwa hapa Tanzania

N:B
Soko kuu la Kariakoo( Nimetafuta bila mafanikio)
 
Dah nimekumbuka mbali sana hili zao, ni aina ya alzeti ya miba, Mafuta yake yana quality kuliko mafuta ya alizeti.Na pia ukiotesha shambani hii kitu hakuna tembo anaingia, Tembo wanaigopa balaa hio miba.

Kuhusu Mbegu, Wilaya ya Hanangi unaweza pata na kuna part of Dodoma pia ilikuwa inalimwa sana sijui now day, Arusha pia kuna shamba moja niliiona ila ni Wazingu wale.
 
Dah nimekumbuka mbali sana hili zao, ni aina ya alzeti ya miba, Mafuta yake yana quality kuliko mafuta ya alizeti.Na pia ukiotesha shambani hii kitu hakuna tembo anaingia, Tembo wanaigopa balaa hio miba.

Kuhusu Mbegu, Wilaya ya Hanangi unaweza pata na kuna part of Dodoma pia ilikuwa inalimwa sana sijui now day, Arusha pia kuna shamba moja niliiona ila ni Wazingu wale.
AFRICAN POWER
 
Ukiangalia google ni kama Tanzania ni miongoni mwa nchi 10 duniani zinazozalisha hili zao la safflower lakini bi kama sisi wenyewe include mimi hatulifahamu, lakini kwa maoni ya wadau hapo juu ni kama mashamba mengi ni ya foreigners. Naombeni mwenye yuko na update na hii kitu atuelekeze pengine inaweza saidia msimu huu wa kilimo angalau watu wapate aftatu jamani🙈
 
Ukiangalia google ni kama Tanzania ni miongoni mwa nchi 10 duniani zinazozalisha hili zao la safflower lakini bi kama sisi wenyewe include mimi hatulifahamu, lakini kwa maoni ya wadau hapo juu ni kama mashamba mengi ni ya foreigners. Naombeni mwenye yuko na update na hii kitu atuelekeze pengine inaweza saidia msimu huu wa kilimo angalau watu wapate aftatu jamani[emoji85]
Ina ugumu ndio maana hailimwi sana, ina kazi pevu kwenye kuvuna, ina miiba sana
 
nenda west kilimanjaro zipo, nipe tenda nikutafutie
 
Back
Top Bottom