Mbeleko ya Kanumba haipo tena, Patcho Mwamba na Wellu Sengo sasa chaliii

Mbeleko ya Kanumba haipo tena, Patcho Mwamba na Wellu Sengo sasa chaliii

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Jamani mtakubaliana nami kuwa Kanumba aliwabeba sana kina Patcho Mwamba na Sengo mpaka wakajulikana kila kona, aliwashirikisha sana. Lakini baada ya kufariki, kina Patcho Mwamba nao wamedumbukia shimoni.
 
kweli kabisa tena si hao tu, fanya utafiti zaid utawabaini wengi sana
 
Hii tasnia kwa kiasi kikubwa ilikuwa
inabebwa na Kanumba na jamaa alikuwa msaada kwa watu wengi tofauti na wasanii wengine!

Kuhusu Pantcho kweli Kanumba alimfanya aipende Tasnia na jamaa ni muigizaji mzuri sana naona Sasa hivi nguvu zote ziko kwenye Music!

Huyo Welu Sengu kapotea kweli..kifo cha kanumba kimekuwa piga kubwa kwa wengi...
 
Kanumba kafa filamu bongo imekufa. Waliobaki wapiga makelele tu nakuuza sura.
 
Wote hao mliowataja sasa hivi watangazaji
-patcho ana kipindi azam tv kinaitea bana kongo
-wellu nae nmemuona clouds tv kwenye kipindi cha 5 gear
 
Wote hao mliowataja sasa hivi watangazaji
-patcho ana kipindi azam tv kinaitea bana kongo
-wellu nae nmemuona clouds tv kwenye kipindi cha 5 gear

ahaa kwa tabia za kina ruge lazima wamlambe, then subiri bifu lake na kina zamaladi
 
Back
Top Bottom