Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,914
- 3,386
Baada ya Rais Samia kumaliza kutawala muhula miwili kwa mujibu wa katiba Watanzania tutajitokeza kuandamana kumtaka aendelee na tutashinikiza bunge lifanye mabadiliko Rais Samia aongezewe Muda pengine hadi atakaposema imetosha.
Rais Samia anakuwa Rais wa kwanza kupaisha uchumi na hali za maisha za watanzania tangu tupate uhuru. Rekodi yake ya kipekee haita fikiwa kutokana na akili zake za kipekee.
Rais Samia anakwenda kuwa Anjel Markel wa Afrika na mfano kwa wanawake wote DUNIANI.
Tunzeni huu uzi mtakuja kunishukuru
PIA SOMA
- Hashim Rungwe: Kama tatizo ni muda, Rais Samia aongezewe muda ili tupate Katiba Mpya ndio tufanye Uchaguzi
- Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka
- Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono
- Mzee Mwinyi: Rais Magufuli aongezewe muda wa miaka 5 zaidi kama shukrani
- Zile kelele za Rais Magufuli aongezewe muda mbona hazipingwi kwa Rais Samia?
- Uchaguzi 2020 - Dkt. Magufuli aongezewe muda wa kutawala
- Rais Magufuli akifanya mambo haya, Watanzania watamlilia wenyewe aongezewe muda wa kutawala
Rais Samia anakuwa Rais wa kwanza kupaisha uchumi na hali za maisha za watanzania tangu tupate uhuru. Rekodi yake ya kipekee haita fikiwa kutokana na akili zake za kipekee.
Rais Samia anakwenda kuwa Anjel Markel wa Afrika na mfano kwa wanawake wote DUNIANI.
Tunzeni huu uzi mtakuja kunishukuru
PIA SOMA
- Hashim Rungwe: Kama tatizo ni muda, Rais Samia aongezewe muda ili tupate Katiba Mpya ndio tufanye Uchaguzi
- Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka
- Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono
- Mzee Mwinyi: Rais Magufuli aongezewe muda wa miaka 5 zaidi kama shukrani
- Zile kelele za Rais Magufuli aongezewe muda mbona hazipingwi kwa Rais Samia?
- Uchaguzi 2020 - Dkt. Magufuli aongezewe muda wa kutawala
- Rais Magufuli akifanya mambo haya, Watanzania watamlilia wenyewe aongezewe muda wa kutawala