The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Jeshi la polisi mkoani Mbeya linamshikilia Juma Afyusisye (38) dereva Bodaboda mkazi wa iwambi Jijini Mbeya kwa tuhuma za kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili mwanafunzi wa kiume wa darasa la pili wa shule ya msingi Iwambi mkazi wa Iwambi Jijini Mbeya kwa kumchoma moto
Taarifa iliyotolewa jana November 09, 2024 na kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga imesema "ni kwamba mnamo tarehe 05 November maeneo ya Iwambi Jijini Mbeya Juma Afyusisye(38)dereva Bodaboda mkazi wa Iwambi alimpatia fedha kiasi cha Tsh 10000, mhanga (mtoto wa jiranii yake) na kumuagiza aende dukanii kumnunulia maandaz ya Tsh 5000 lakini mhanga alitumia fedha yote kwa matumizi yake binafsi"
Mhanga baada ya kurudi na kuonekanaa hana pesa ndipo mtuhumiwa Juma Afyusisye alijichukulia sheria mkononi kwa kummwagia mafua ya petrol kwenye shati alilolivaa nakisha kuwasha kiberiti na kumsababishia majeraha sehemu mbalimbali za mwili wake, Mhanga amelazwa Hospitali Teule ya Ifisi katika mji mdogo wa Mbalizi aki endelea kupatiwa matibabu"
Soma pia: Mbeya: Mtoto wa miaka 8 achomwa moto na jirani kisa kupoteza sh 200
Taarifa iliyotolewa jana November 09, 2024 na kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga imesema "ni kwamba mnamo tarehe 05 November maeneo ya Iwambi Jijini Mbeya Juma Afyusisye(38)dereva Bodaboda mkazi wa Iwambi alimpatia fedha kiasi cha Tsh 10000, mhanga (mtoto wa jiranii yake) na kumuagiza aende dukanii kumnunulia maandaz ya Tsh 5000 lakini mhanga alitumia fedha yote kwa matumizi yake binafsi"
Mhanga baada ya kurudi na kuonekanaa hana pesa ndipo mtuhumiwa Juma Afyusisye alijichukulia sheria mkononi kwa kummwagia mafua ya petrol kwenye shati alilolivaa nakisha kuwasha kiberiti na kumsababishia majeraha sehemu mbalimbali za mwili wake, Mhanga amelazwa Hospitali Teule ya Ifisi katika mji mdogo wa Mbalizi aki endelea kupatiwa matibabu"
Soma pia: Mbeya: Mtoto wa miaka 8 achomwa moto na jirani kisa kupoteza sh 200