Mbeya: Apigwa na mume na mashemeji zake kisa wivu wa kimapenzi

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mama mwenye watoto tisa, Bi.Honga Shija (45) mkazi wa Kijiji cha Majengo Kata ya Upendo Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya, amejeruhiwa maeneo mbalimbali ya mwili wake kwa kupigwa na watu wanne, mume wake na mashemeji zake kisa wivu wa mapenzi.

Akizungumza kwa njia ya simu Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi, Mkoa wa Mbeya, ACP Wilbert Siwa amesema jeshi hilo bado halijapokea taarifa.

Soma pia: Njombe: Mume amuua mke wake kwa madai ya kuchepuka kwenye ndoa yao

Your browser is not able to display this video.


Chanzo: ITV
 
Hii dunia Ina watu katili sana wote waliyofanya hivyo wakamatwe na wafunguliwe shtaka la kukusudia kuua
 
Kuna watu huko ndiyo mila zao,hapo utashangaa huyo mke anampigia magoti mume wake na hao shemeji zake kuomba msamaha!
 
Hi sasa ndoa ya familia...
ni ukatili kupigwa na familia kwan umeolewa na ukoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…