Pre GE2025 Mbeya, Arusha, Mara ndio ngome za CHADEMA kama wamemkataa Mbowe, kama atashinda tafsiri yake ngome hizo zimeanguka. CHADEMA kwisha!

Pre GE2025 Mbeya, Arusha, Mara ndio ngome za CHADEMA kama wamemkataa Mbowe, kama atashinda tafsiri yake ngome hizo zimeanguka. CHADEMA kwisha!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Mpo salama!

Wengine tunajadili na kuyaona mambo kwa Jinsi yanavyoonekana na Wala sio ushabiki.

Hakuna asiyejua nguvu ya Mbeya, Mara na Arusha kwenye chama cha CHADEMA.
Mikoa hiyo ndio ngome kuu ya CHADEMA.

Unapokataliwa kwenye ngome yako alafu ukang'ang'ania kutawala ni kujaribu kujiangusha na kuhujumu Chama chako.

Sasa kama Mbeya, Mara na Arusha zilizo ngome za CHADEMA zimemkataa Mbowe unafikiri kuna CHADEMA tena hapo ikiwa Mbowe Atapita!

Waliomshauri Mbowe aendelee kutetea kiti chake wamemhujumu pakubwa Sana Mbowe. Ni Nina uhakika ni maadui zake wa Siri ambao kwa Nje HUJIFANYA marafiki.

1. Wameharibu heshima(reputation) yote ya Mbowe ndani ya Muda mfupi.
2. Wameua Sifa yake Njema na sasa anasifa mpya ambayo ndio itamtambulisha daima, majina kama Mugabe, Nkurunzinza, Ayatollah, Museven n.k. ndio AKA yake tangu uchaguzi huu Mpaka maisha yake yote

3. Hatari ya CHADEMA kuanguka, na nguvu zote za Miaka 30 alizotumia ni sawasawa na Bure tuu.

Narudia, kifalsafa waliomshauri Mbowe aendelee kugombea uenyekiti wake kwa kisingizio kuwa Katiba inaruhusu ni ADUI zake na MBOWE.

Tunasubiri
 
Mpo salama!

Wengine tunajadili na kuyaona mambo kwa Jinsi yanavyoonekana na Wala sio ushabiki.

Hakuna asiyejua nguvu ya Mbeya, Mara na Arusha kwenye chama cha CHADEMA.
Mikoa hiyo ndio ngome kuu ya CHADEMA.

Unapokataliwa kwenye ngome yako alafu ukang'ang'ania kutawala ni kujaribu kujiangusha na kuhujumu Chama chako.

Sasa kama Mbeya, Mara na Arusha zilizo ngome za CHADEMA zimemkataa Mbowe unafikiri kuna CHADEMA tena hapo ikiwa Mbowe Atapita!

Waliomshauri Mbowe aendelee kutetea kiti chake wamemhujumu pakubwa Sana Mbowe. Ni Nina uhakika ni maadui zake wa Siri ambao kwa Nje HUJIFANYA marafiki.

1. Wameharibu heshima(reputation) yote ya Mbowe ndani ya Muda mfupi.
2. Wameua Sifa yake Njema na sasa anasifa mpya ambayo ndio itamtambulisha daima, majina kama Mugabe, Nkurunzinza, Ayatollah, Museven n.k. ndio AKA yake tangu uchaguzi huu Mpaka maisha yake yote

3. Hatari ya CHADEMA kuanguka, na nguvu zote za Miaka 30 alizotumia ni sawasawa na Bure tuu.

Narudia, kifalsafa waliomshauri Mbowe aendelee kugombea uenyekiti wake kwa kisingizio kuwa Katiba inaruhusu ni ADUI zake na MBOWE.

Tunasubiri
Huu ni ukweli mchungu kwa Mbowe. Mwaka 2019 Mbowe aliutangazia mkutano mkuu uliomchagua kuwa hii ni mara yake ya mwisho hatagombea tena,na Lemma mtu wake wa karibu sana amemuambia zaidi ya mara tano kuwa amechoka anataka kupumzika uenyekiti. Badiliko la ghafla limetokana na shinikizo fulani nje ya Chadema na wengi tunaamini ni matokeo ya maridhiano binafsi kati yake na Samia ndiyo yamemsukuma agombee tena,swali hapa jee msukumo huu una nia njema kwake na kwa chama chake? Jibu ni rahisi sana ni kuwa msukumo huu una nia ovu kwake na Chadema kwa ujumla wake. Jee ni Mbowe hakujua nia ovu ya msukumo huu,jibu ni kuwa anajua yeye siyo mjinga kiasi cha kutokusoma huo mchezo. Swali jengine ni kuwa kama alijua nia ovu ya msukumo wa yeye kugombea tena kwa nini amekubali? Kwangu mimi naona Mbowe amechoka siasa na amepima na kujiridhisha kuwa hawezi kuishinda CCM iwe jua iwe mvua hivyo akaamua kusimama na kanuni ya kinyamwezi ya "if you can't fight them join them ". Na katika kujoin them akajiongeza na kauli mbiu ya kichaga kuwa ametumwa fedha ndiyo hii tunayosikia 12b inayovuma mitandaoni. Haya ni mawazo yangu.
 
Huu ni ukweli mchungu kwa Mbowe. Mwaka 2019 Mbowe aliutangazia mkutano mkuu uliomchagua kuwa hii ni mara yake ya mwisho hatagombea tena,na Lemma mtu wake wa karibu sana amemuambia zaidi ya mara tano kuwa amechoka anataka kupumzika uenyekiti. Badiliko la ghafla limetokana na shinikizo fulani nje ya Chadema na wengi tunaamini ni matokeo ya maridhiano binafsi kati yake na Samia ndiyo yamemsukuma agombee tena,swali hapa jee msukumo huu una nia njema kwake na kwa chama chake? Jibu ni rahisi sana ni kuwa msukumo huu una nia ovu kwake na Chadema kwa ujumla wake. Jee ni Mbowe hakujua nia ovu ya msukumo huu,jibu ni kuwa anajua yeye siyo mjinga kiasi cha kutokusoma huo mchezo. Swali jengine ni kuwa kama alijua nia ovu ya msukumo wa yeye kugombea tena kwa nini amekubali? Kwangu mimi naona Mbowe amechoka siasa na amepima na kujiridhisha kuwa hawezi kuishinda CCM iwe jua iwe mvua hivyo akaamua kusimama na kanuni ya kinyamwezi ya "if you can't fight them join them ". Na katika kujoin them akajiongeza na kauli mbiu ya kichaga kuwa ametumwa fedha ndiyo hii tunayosikia 12b inayovuma mitandaoni. Haya ni mawazo yangu.

Sahihi kabisa
 
Mpo salama!

Wengine tunajadili na kuyaona mambo kwa Jinsi yanavyoonekana na Wala sio ushabiki.

Hakuna asiyejua nguvu ya Mbeya, Mara na Arusha kwenye chama cha CHADEMA.
Mikoa hiyo ndio ngome kuu ya CHADEMA.

Unapokataliwa kwenye ngome yako alafu ukang'ang'ania kutawala ni kujaribu kujiangusha na kuhujumu Chama chako.

Sasa kama Mbeya, Mara na Arusha zilizo ngome za CHADEMA zimemkataa Mbowe unafikiri kuna CHADEMA tena hapo ikiwa Mbowe Atapita!

Waliomshauri Mbowe aendelee kutetea kiti chake wamemhujumu pakubwa Sana Mbowe. Ni Nina uhakika ni maadui zake wa Siri ambao kwa Nje HUJIFANYA marafiki.

1. Wameharibu heshima(reputation) yote ya Mbowe ndani ya Muda mfupi.
2. Wameua Sifa yake Njema na sasa anasifa mpya ambayo ndio itamtambulisha daima, majina kama Mugabe, Nkurunzinza, Ayatollah, Museven n.k. ndio AKA yake tangu uchaguzi huu Mpaka maisha yake yote

3. Hatari ya CHADEMA kuanguka, na nguvu zote za Miaka 30 alizotumia ni sawasawa na Bure tuu.

Narudia, kifalsafa waliomshauri Mbowe aendelee kugombea uenyekiti wake kwa kisingizio kuwa Katiba inaruhusu ni ADUI zake na MBOWE.

Tunasubiri
Yani Lema ndio sauti na msimamo wa kanda ya kaskazini?

Hivi umeanza kuvuta bangi siku hizi?
 
Ukisikiliza speech ya Lema utagundua Mbowe ni mwana kuli find sababu inaonekana Lisu hakuna na Nia ya kugombea ila Kuna mfumo uliokuwa unatengenezwa na Mbowe kupitia mamluki wa ccm Kwa kuhakikisha anawaengua taratibu wale wenye misimamo mikali ndio wajuba wakashtuka Bora Lisu aingilie kati. Siasa ni mchezo wa akili Sana na yawezekana sisi wa nje hatuyajui yote
 
Ukisikiliza speech ya Lema utagundua Mbowe ni mwana kuli find sababu inaonekana Lisu hakuna na Nia ya kugombea ila Kuna mfumo uliokuwa unatengenezwa na Mbowe kupitia mamluki wa ccm Kwa kuhakikisha anawaengua taratibu wale wenye misimamo mikali ndio wajuba wakashtuka Bora Lisu aingilie kati. Siasa ni mchezo wa akili Sana na yawezekana sisi wa nje hatuyajui yote

Sahihi Kabisa
 
Ukisikiliza speech ya Lema utagundua Mbowe ni mwana kuli find sababu inaonekana Lisu hakuna na Nia ya kugombea ila Kuna mfumo uliokuwa unatengenezwa na Mbowe kupitia mamluki wa ccm Kwa kuhakikisha anawaengua taratibu wale wenye misimamo mikali ndio wajuba wakashtuka Bora Lisu aingilie kati. Siasa ni mchezo wa akili Sana na yawezekana sisi wa nje hatuyajui yote
Lemma kafungua ile code nasikia mwamba hali yake kiafya imetetereka jana hii counter attack ya Lemma imemstua sana kama ya Lissu ilivyomstua,na ameogopa ile kauli ya mwisho ya Lemma kwa wana habari kuwa kamwe wasije wakamlazimisha kuitisha press nyingine itakuwa hatari kubwa akimaanisha anazo silaha nzito amezihifidhi kusubiria majibu toka kwa Sultan. Kwa vile Mbowe anajua Lemma anajua mauchafu yake mengi sasa hajui atamzuia vipi asipasua hilo bomb la maangamizi. Nimekaa pale 👉👉
 
Ulisema Mbowe hashindi na ukaridhia kubeti,


Kwani umeota nini usiku Hadi uje na thread aina hii?
 
Back
Top Bottom