Uchaguzi 2020 Mbeya bhukile : Mabaraza ya Majimbo yaanza kuwahoji watia nia kwa lengo la kuchuja pumba na mchele

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Chadema Mkoa wa Mbeya imeanzisha program maalum kwa ajili ya kuwasaili Watia nia wote kwenye Udiwani ili kufahamu uwezo , dhamira na uaminifu wao kwa chama na wananchi kwa lengo la kuwapata wagombea bora wasio mamluki .

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…