Mwanongwa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2023
- 611
- 567
Kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa sasa kumeanza kuchanganya sana.
Vuta ni kuvute imetokea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Ibililo Kijiji Cha Nkunga Wilayani Rungwe.
Picha linaanza kamati ya siasa imepitisha jina ambalo wajumbe wamelichagua lakini Katibu wa Chama kapeleka jina lingine Wilayani.
Wanachama wamechachamaa wanadai wako tayari kuwapa kura chama pinzani kutokana na jambo hilo
Uchaguzi wa safari hii umekuwa na pilika pilika sana ndani ya chama tawala hata vyama vya upinzani.
Wananchi tujitokeze Kwa wingi kuchagua viongozi ambao tunawataka watuongoze kwa miaka mitano ijayo.
Vuta ni kuvute imetokea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Ibililo Kijiji Cha Nkunga Wilayani Rungwe.
Picha linaanza kamati ya siasa imepitisha jina ambalo wajumbe wamelichagua lakini Katibu wa Chama kapeleka jina lingine Wilayani.
Wanachama wamechachamaa wanadai wako tayari kuwapa kura chama pinzani kutokana na jambo hilo
Uchaguzi wa safari hii umekuwa na pilika pilika sana ndani ya chama tawala hata vyama vya upinzani.
Wananchi tujitokeze Kwa wingi kuchagua viongozi ambao tunawataka watuongoze kwa miaka mitano ijayo.