Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio Taarifa ya sasa kutokea Jijini Mbeya, kwamba Wagombea wote wa Chama hicho wa Jimbo la Mbeya Mjini wanafanyiwa semina elekezi kuelekea kwenye Uchaguzi huo.
Bali hatutatoa siri ya kinachofundishwa ndani ya Ukumbi, Lakini Mafunzo hayo yanasimamiwa na Rais wa Eneo hilo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama hicho Kanda ya Nyasa, Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa, Bilionea Joseph Mbilinyi
Hii hapa ni habari kwa Ufupi
Ujumbe: Watake Wasitake
Bali hatutatoa siri ya kinachofundishwa ndani ya Ukumbi, Lakini Mafunzo hayo yanasimamiwa na Rais wa Eneo hilo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama hicho Kanda ya Nyasa, Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa, Bilionea Joseph Mbilinyi
Hii hapa ni habari kwa Ufupi
Ujumbe: Watake Wasitake