Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sugu hakuwapa hata maji ya kunywaHii ndio Taarifa ya sasa kutokea Jijini Mbeya, kwamba Wagombea wote wa Chama hicho wa Jimbo la Mbeya Mjini wanafanyiwa semina elekezi kuelekea kwenye Uchaguzi huo.
Bali hatutatoa siri ya kinachofundishwa ndani ya Ukumbi, Lakini Mafunzo hayo yanasimamiwa na Rais wa Eneo hilo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama hicho Kanda ya Nyasa, Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa, Bilionea Joseph Mbilinyi
Hii hapa ni habari kwa Ufupi
View attachment 3144271View attachment 3144272View attachment 3144274
Ujumbe: Watake Wasitake
YapoSugu hakuwapa hata maji ya kunywa
Kwenye meza yake ndio kuna chupa 1 ya maji.Maji ya wajumbe ni invicible hayaonekani!!!Yapo
Wamefuata darasa hawakufuata kunywa maji.Sugu hakuwapa hata maji ya kunywa
Hatupangi kuteka watu wala kuwamwagia tindikaliHumo humo ukumbini kuna watoa siri, wameingia na vinasa sauti
kuweni matajiriSugu anajitahidi kuliko enzi za mchungaji Msigwa π
ππππkuweni matajiri
hata maji ya kun
toka lini mwanafunzi akawa na chaki? ccm tuache ujinga kufata kula maeneo kama hayo na posho ...zingatia utaifaKwenye meza yake ndio kuna chupa 1 ya maji.Maji ya wajumbe ni invicible hayaonekani!!!
usicheke nchi hii inamizigo Bora ingekuwa na wajingaππππ
Ni sawa kwa Sugu kunywa maji lakini wajumbe kukosa maji ni kufuata kula?What a Dundee United.toka lini mwanafunzi akawa na chaki? ccm tuache ujinga kufata kula maeneo kama hayo na posho ...zingatia utaifa
sawa kabisa mana Kuna tea break and water break ipo ...Ni sawa kwa Sugu kunywa maji lakini wajumbe kukosa maji ni kufuata kula?What a Dundee United.
Erythrocyte mnaona hivi vitu ni vidogo ila vina maana kubwa. Mwaka 2010 nilipogombea nilitoa Chakula (take away) kwa mawakala wangu. Mpinzani wangu akatoa 10,000 kwa kila Wakala wangu na kuwaamrisha waondoke. Wakapokea na kuishia. Nikapigwa kitu Kizito.toka lini mwanafunzi akawa na chaki? ccm tuache ujinga kufata kula maeneo kama hayo na posho ...zingatia utaifa