Tumelichukua wazo, lakini sio mbaya hizi zinazopanda tukazipima na hizi za ligi kuu ili kulinda ubora.Hizi play off za bongo ni za kipuuzi sana. Ni dhahiri zimeundwa na watu wasio na utashi toshelezi. Ni upuuzi kutengeneza uwezekano wa timu iliyoshindwa kupigania nafasi yake msimu mzima kusalia kwenye ligi kwa kuifunga timu iliyopigania kupanda msimu mzima.
Play off zapaswa kukutanisha timu zilizokuwa zikipigania kupanda daraja. Tena nafasi ya play off yapaswa kuwa moja tu, ipiganiwe na timu 4 au 6 yaani kuanzia nafasi ya 3 mpaka 6 au 8 kwenye msimamo.
zipo zinazopanda direct na zinazoshuka direct, then nafasi mbili za ziada ndio playoff.......Hizi play off za bongo ni za kipuuzi sana. Ni dhahiri zimeundwa na watu wasio na utashi toshelezi. Ni upuuzi kutengeneza uwezekano wa timu iliyoshindwa kupigania nafasi yake msimu mzima kusalia kwenye ligi kwa kuifunga timu iliyopigania kupanda msimu mzima.
Play off zapaswa kukutanisha timu zilizokuwa zikipigania kupanda daraja. Tena nafasi ya play off yapaswa kuwa moja tu, ipiganiwe na timu 4 au 6 yaani kuanzia nafasi ya 3 mpaka 6 au 8 kwenye msimamo.
Naamini kipimo cha mechi mbili au nne si cha haki kabisa. Kipimo cha haki ni kile cha kucheza mechi zaidi ya 20 au 30 msimu mzima. Ikumbukwe kuwa timu iwe kubwa au ndogo hupitia vipindi tofauti ndani ya msimu mzima. Hivyo kipimo kizuri zaidi ni kile kinaochojumuisha mkusanyiko wa pointi angalau kwa kipindi kirefu (msimu).Tumelichukua wazo, lakini sio mbaya hizi zinazopanda tukazipima na hizi za ligi kuu ili kulinda ubora.
Wakizitoa kweli tutajua wao wa daraja la kwanza wamekomaa kucheza ligi kuu.