Acha wale kipigo chao huku wakiwaza maisha mapya ya ligi daraja la kwanzaHaina mvuto tena hakuna mshindani,sasa sisi tungefanyaje wao wenyewe wanavutana mashati huko nyuma
Go mnyama goooo
Sema go tfffGo mnyama goooo
😀 😀 😀 wapo wanaugulia maumivu kimya kimyaWale mashabiki wa kuazimwa wa mbeya city wamejifungia wapi
Mkuu eti Ni kweli kagere ana 56 ?Ngoja nisubiri mechi ya maana jioni,nisipoteze muda kwa huu utumbo wa club ya wazee
Mechi ijayo tunatangaza ubingwaTfff washatoa maelekezo huko mbea,mikia anaondoka na point 3
Utopolo kwa kulalamika, utafikiri mtoto yatima....Tfff washatoa maelekezo huko mbea,mikia anaondoka na point 3