Mbeya Golden city hotel - ogopa kabisa hii hoteli

Wote ni wasafiri watarajiwa hapa

Warning
Hotelini si nyumbani kwako...kaa kwa tahadhari hata kama ni nyota 100

Kuna njia nyingi za kutumia chumba cha hoteli kwa usalama........na ukaweka vitu vyako kwa usalama na kuvikuta..........ceiling fan, flashing cistern, shower strainer, mguu wa wsah basin na kadhalika ni jinsi tu ya kujua makaratee ya hivyo vitu na jinsi ya kuvitumia kama chimbo........

Ukiwa na pesa nyingi always take a plastic bag, gazeti na cello/ sol tape with you.......


Pesa ni pesa na hasara haina share bana kama vipi uharibifu kidogo (kukosa ustaarabu) ni more rational kuliko kuibiwa ukiwa mstaarabu
 
Olesaidimu

Umenifurahisha sana kwa hizo idea za kuhifadhi hela ktk chumba ila km kutakua na fundi anakuja kutengeneza basi ataziona..nadhani zile hotel wanazoweka safe ndani ni salama zaidi
 
mzee wezi wa siku hizi ni master of disguising and deceiption -ukarimu ni moja ya dhana zao kabla hawajakutenda.wezi makovu wamepitwa na wakt yakhe!
 
thanks mkuu, i compliment, itabidi ukilala ufiche kamera somewhere, na surualini uweke mifugo feki!!!

Nadhani hiyo wangefanya wenye hotel km wangetaka kumkamata mwizi wao wa mara kwa mara, ila kwa sababu wanahusika wanaacha vitendo vya uwizi viendelee tu..
 
mkuu huna busara kabisa,kama wewe hujaibiwa shukuru Mungu,siyo unatetea upuuzi wakati wengine wamedhurika
 
ok nimekusoma,
ndo hii mmiliki alipata ajali na prado
 
Nadhani kweli mmiliki wake alikufa kwani waliobaki kuindesha hawajui dhamani yake ndio maana wanashirikiana na wezi...
 
Mkuu cheki na adam malima atakusaidia jinsi alivyoata smg yake naamini haata wewe hizo shekeli za majani utapata
 
Napafahamu vizuri sana hapo ila nashangaa ni kahoteli kazuri lakini wanashindwa kukaendesha au kwasababu mwenye nayo alishafikisha miaka10 akatangulia mbele za haki??
you mean something here
 

Una busara gani wewe kwa haya uliyoyaandika?
 
nobody will shape this nation But ourselves. It starts by saying NO to shoddy services and boycotting Non-performers. We have enough evidence & testimony here to conclude that the above mentioned hotel is NO PLACE TO STAY, unless they make drastic changes.
 

Hiyo ni sahihi kabisa kwa usalama wako na wa mali zako. Hii hotel ni hatari sana i wish na mimi ningepata taarifa mapema ningeiepuka..
 
Golden City are expensive for nothing with their tiny rooms, computers without connectivity to internet and now this... Next time try GR City Hotel. There you will get value for money and safety.
 
Siku hizi wameacha kuchuna ngozi wameamua kutafuta staili nyingine ya kujipatia kipato bhwana. Ndo hizo ajira zimezalishwa kwa wingi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…