gcmmedia
Member
- Jul 19, 2024
- 34
- 75
Kuna kundi la watu wapo eneo la Geti la Pili kwenye bandari kavu jijini Mbeya, mbele kidogo ya Iyunga unapoelekea Mbalizi. Watu hawa hukamata bajaji mchana kweupe wakiwa na marungu kuzuia bajaji zisiende uelekeo wa Mbalizi.
Cha kushangaza, hata kama umekodi bajaji hawa watu hawataki hilo. Wanawasumbua mkodishaji na dreva wa bajaji; hadi wapewe pesa na dreva bajaji ndiyo huwaachia kuendelea. Wana kiburi sana.
Swali ni, Je, watu hawa ni mamlaka gani? Nani kawapa mamlaka hii kubwa? Kwa nini mamlaka husika zipo kimya? Nani yupo nyuma yao?
Cha kushangaza, hata kama umekodi bajaji hawa watu hawataki hilo. Wanawasumbua mkodishaji na dreva wa bajaji; hadi wapewe pesa na dreva bajaji ndiyo huwaachia kuendelea. Wana kiburi sana.
Swali ni, Je, watu hawa ni mamlaka gani? Nani kawapa mamlaka hii kubwa? Kwa nini mamlaka husika zipo kimya? Nani yupo nyuma yao?