Mbeya Jiji toeni majina acheni uhuni kuwapigia simu waandishi wa daftari la kudumu

Mbeya Jiji toeni majina acheni uhuni kuwapigia simu waandishi wa daftari la kudumu

Dong Jin

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2018
Posts
968
Reaction score
2,034
Mchakato wa kuwapata waandishi wa daftari la kudumu kwa Mbeya mjini ni wa hovyo kuliko kawaida. Hii ni rushwa ya waziwazi inafanyika.

Watu waliomba ajira na waliopita wapo. Kwanini msitoe majina na kuyabandika katika mbao za matangazo au tuyaone kwenye tovuti yenu km walivyofanya maeneo mengine badala yake mmekuwa mkiwapigia simu waliopata na kuwaambia waende ijumaa (ambayo ni kesho) kwenye interview.

Sasa ni kwanini muwapigie simu na msitoe majina? Kama sio rushwa ni nini? Kulikuwa kuna haja gani ya kuwasumbua watu watume maombi?

Huu ni upuuzi na mnauendesha mchakato kwa rushwa na kujuana. Sitashangaa kuona watu ambao hawakuomba kabisa nikawakuta hiyo kesho hapo mbeya secondari wamekuja kwenye interview.

Mamlaka ya kupambana na kuzuia rushwa jaribuni kulichunguza suala hili ili kila anayestahili apate haki yake
 
Screenshot_20241212-115610_WPS Office.jpg
 
Mchakato wa kuwapata waandishi wa daftari la kudumu kwa Mbeya mjini ni wa hovyo kuliko kawaida. Hii ni rushwa ya waziwazi inafanyika.

Watu waliomba ajira na waliopita wapo. Kwanini msitoe majina na kuyabandika katika mbao za matangazo au tuyaone kwenye tovuti yenu km walivyofanya maeneo mengine badala yake mmekuwa mkiwapigia simu waliopata na kuwaambia waende ijumaa (ambayo ni kesho) kwenye interview.

Sasa ni kwanini muwapigie simu na msitoe majina? Kama sio rushwa ni nini? Kulikuwa kuna haja gani ya kuwasumbua watu watume maombi?

Huu ni upuuzi na mnauendesha mchakato kwa rushwa na kujuana. Sitashangaa kuona watu ambao hawakuomba kabisa nikawakuta hiyo kesho hapo mbeya secondari wamekuja kwny interview.

Mamlaka ya kupambana na kuzuia rushwa jaribuni kulichunguza suala hili ili kila anayestahili apate haki yake
Au fika ofisini waombe kuona jina lako kama umechaguliwa nk
 
umeingia kwenye website yao hayapo? Nimeona yamepostiwa tangu Disemba 9. www.mbeyacc.go.tz
Yaliyopostiwa hiyo tarehe ni page ya mbeyadc na sio mbeyacc

Kiufupi waliochaguliwa wamepigiwa simu maana kuna mtu alienda kuulza kwenye ofisi ya mkurugenzi wakamwambia km hujapigiwa simu ujaribu wakati mwingine.

Akaomba aone majina labda kasahaulika kupigiwa simu kaambiwa majina hawana
 
Back
Top Bottom