Mbeya kwanza FC special thread

Mbeya kwanza FC special thread

Wakusolve

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2020
Posts
274
Reaction score
254
Kama wewe ni mpenzi wa timu hii ya Mbeya iliyopanda daraja msimu huu karibu tujadili mambo gani muhimu yanatakiwa ili timu hii isishuke daraja.Katika maandalizi ya kuelekea ligi kuu timu hii imechukua kombe liloanzishwa na mkuu wa mkoa wa Mbeya baada ya kuifunga timu ya Ihefu fc.
 
HV mbon mnapenda ubinasfs et mbeya Kwanza ndio kitu gani hicho? mmekoza jina lingine mpka mlete umbeya Kwanza ...ngoja waje mzimu Ni mmoja tu watapoteana wote
 
HV mbon mnapenda ubinasfs et mbeya Kwanza ndio kitu gani hicho? mmekoza jina lingine mpka mlete umbeya Kwanza ...ngoja waje mzimu Ni mmoja tu watapoteana wote
Shida ikwapi mkuu mbona yanga wanajita dar Yanga african
 
images (1).jpeg
 
Back
Top Bottom