Mbeya kwanza ndio Mbeya city?

Mbeya kwanza ndio Mbeya city?

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Wakuu mi ni mshabiki wa mpira wa wastani kwa hiyo kuna baadhi ya mambo huwa yananipita,kuna siku nimeshangaa naangalia mechi naona timu inaitwa Mbeya kwanza,na wakati huohuo Mbeya city siisikii msimu huu. Ndio hiyohiyo wamebadili jina au ni timu nyingine?
 
Wakuu mi ni mshabiki wa mpira wa wastani kwa hiyo kuna baadhi ya mambo huwa yananipita,kuna siku nimeshangaa naangalia mechi naona timu inaitwa Mbeya kwanza,na wakati huohuo Mbeya city siisikii msimu huu. Ndio hiyohiyo wamebadili jina au ni timu nyingine?
Ni timu mbili tofauti Mbeya kwanza ni mara ya kwanza kushiriki ligi kuu.
 
Wakuu mi ni mshabiki wa mpira wa wastani kwa hiyo kuna baadhi ya mambo huwa yananipita,kuna siku nimeshangaa naangalia mechi naona timu inaitwa Mbeya kwanza,na wakati huohuo Mbeya city siisikii msimu huu. Ndio hiyohiyo wamebadili jina au ni timu nyingine?
Mbeya city na mbeya kwanza ni timu mbili tofauti mbeya city ni timu ya jiji la mbeya na mbeya kwanza sina uhakika ila nadhani ni ya wananchi makao yao makuu ni iyunga
 
Mbeya city na mbeya kwanza ni timu mbili tofauti mbeya city ni timu ya jiji la mbeya na mbeya kwanza sina uhakika ila nadhani ni ya wananchi makao yao makuu ni iyunga
Asante sana wa kumwitu..... ntakununulia chikanda
 
Asante mkuu, Mbeya City walishuka daraja au nao wamo..sijawasikia
Mbeya city wapo ligini na wnakamata nafasi ya 4 mpaka sasa hivi!

FFddfPTXwAEurGA.jpeg
 
Back
Top Bottom