Ni timu mbili tofauti Mbeya kwanza ni mara ya kwanza kushiriki ligi kuu.Wakuu mi ni mshabiki wa mpira wa wastani kwa hiyo kuna baadhi ya mambo huwa yananipita,kuna siku nimeshangaa naangalia mechi naona timu inaitwa Mbeya kwanza,na wakati huohuo Mbeya city siisikii msimu huu. Ndio hiyohiyo wamebadili jina au ni timu nyingine?
Safi sana mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nafuatiliaga nikiwa naenda kuchepuka
Mbeya city na mbeya kwanza ni timu mbili tofauti mbeya city ni timu ya jiji la mbeya na mbeya kwanza sina uhakika ila nadhani ni ya wananchi makao yao makuu ni iyungaWakuu mi ni mshabiki wa mpira wa wastani kwa hiyo kuna baadhi ya mambo huwa yananipita,kuna siku nimeshangaa naangalia mechi naona timu inaitwa Mbeya kwanza,na wakati huohuo Mbeya city siisikii msimu huu. Ndio hiyohiyo wamebadili jina au ni timu nyingine?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Asante sana wa kumwitu..... ntakununulia chikanda
Mbeya city wapo ligini na wnakamata nafasi ya 4 mpaka sasa hivi!Asante mkuu, Mbeya City walishuka daraja au nao wamo..sijawasikia
Toka timu la mkoani kwako limefungwa last match naona hii comment unatoa kwa hasiraSio kila swali linatakiwa kujibiwa
Sisi ndio magwiji wa soka nchi hii. Tumepandisha ligi kuu timu nyingi sana. Tukuyu Srars, Mecca, Tiger, Prison, Mbeya City, Ihefu, Mbeya KwanzaToka timu la mkoani kwako limefungwa last match naona hii comment unatoa kwa hasira