Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,046
- 3,971
Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini hapo, mechi kati ya Tanzania Prisons na Mbao FC iliyoahirishwa jana na kupangwa kucheza leo saa 8:00 asubuhi imesongezwa mbele hadi saa 10:00 jioni
Kusongezwa mbele kwa muda wa mechi hiyo kunafuatia kuendelea kunyesha kwa mvua na kusababisha maji kutuama uwanjani
Kabla ya mechi kati ya Tanzania Prisons na Mbao FC kutakuwa na mechi kati ya Mbeya City na Mwadui FC ambayo itachezwa saa nane kamili mchana
Mechi zote hizi zinachezwa katika dimba hilo la Sokoine
Kusongezwa mbele kwa muda wa mechi hiyo kunafuatia kuendelea kunyesha kwa mvua na kusababisha maji kutuama uwanjani
Kabla ya mechi kati ya Tanzania Prisons na Mbao FC kutakuwa na mechi kati ya Mbeya City na Mwadui FC ambayo itachezwa saa nane kamili mchana
Mechi zote hizi zinachezwa katika dimba hilo la Sokoine