Pre GE2025 Mbeya Mjini ni vigumu sana Wasafwa kupata Ubunge, ni Jimbo la wageni kama Arusha Mjini

Pre GE2025 Mbeya Mjini ni vigumu sana Wasafwa kupata Ubunge, ni Jimbo la wageni kama Arusha Mjini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Watu wengi wanaamini Wenyeji wa Mbeya Mjini ni Wanyakyusa na Wasafwa kwao ni Mbeya Vijijini

Lakini ukweli ni Kuwa Mbeya Mjini na Vijijini kote ni Kwa Wasafwa ila inasemekana Wasafwa ni Watu wataratibu sana wasiopenda kabisa mambo ya siasa

Wao wamejikita zaidi kwenye mambo ya Dini hasa Misikiti na Makanisa

Ninachojiuliza kwanini Wasafwa hawapendi kabisa SIASA ilhali pacha wao Wakinga ni Wapenzi wakubwa wa siasa?

Ni hilo tu🐼
 
Watu wengi wanaamini Wenyeji wa Mbeya Mjini ni Wanyakyusa na Wasafwa kwao ni Mbeya Vijijini

Lakini ukweli ni Kuwa Mbeya Mjini na Vijijini kote ni Kwa Wasafwa ila inasemekana Wasafwa ni Watu wataratibu sana wasiopenda kabisa mambo ya siasa

Wao wamejikita zaidi kwenye mambo ya Dini hasa Misikiti na Makanisa

Ninachojiuliza kwanini Wasafwa hawapendi kabisa SIASA ilhali pacha wao Wakinga ni Wapenzi wakubwa wa siasa?

Ni hilo tu🐼
Hata Dar
 
Back
Top Bottom