Mbeya: Mlima Kawetere bado ni hatari, kwa wananchi

Mbeya: Mlima Kawetere bado ni hatari, kwa wananchi

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mlima Kawetere uliopo kata ya Itezi jijini Mbeya , uliomeguka April 14 ,2024 na kusababisha maafa ambapo nyumba zaidi ya ishirini ,shule , mifugo na mashamba yalifukiwa na tope, umebainika kuwa mlima huo bado ni hatari, kutokana na shughuli za kibinadamu zinazoendelea katika mlima huo, hali ambayo itapelekea kumeguka tena.

April 14, mwaka huu ni siku ambayo wakazi wa kata ya Itezi hawataisahau, ambapo serikali imeamua kuadhimisha miaka 63 ya uhuru, kwa kupanda miti katika mlima huo.

 
Unajengaje mlimani?
Ili uone magari?
Na kwa mvua hii hapa mbeya sijui
 
Wana mwanza wana la kujifunza katika hili. Wamejenga juu mlimani.
 
Back
Top Bottom