LGE2024 Mbeya: Picha Katibu Mwenezi CHADEMA wa Kata ya Iganjo akiwaombe kura wagombea kwa namna yake

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Ukitazama hii picha kiongozi huyu ameonyesha hisia na hamasa kubwa katika kuhakikisha anatimiza majukumu yake bila kujali hali aliyokuwa nayo.

Nyie! kuna watu wanavipenda vyama vyao katika kila mazingira.
==============
Katibu Mwenezi wa Kata ya Iganjo, mkoani Mbeya, Muhamed Mwanitwe akiwanadi wagombea wa uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji (hawapo pichani) leo Jumapili Novemba 24, 2024 katika Kata ya Uyole mkoani humo.

 
Katibu Mwenezi wa Kata ya Iganjo, mkoani Mbeya, Muhamed Mwanitwe akiwanadi wagombea wa uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji (hawapo pichani) leo Jumapili Novemba 24, 2024 katika Kata ya Uyole mkoani humo.



Picha: Mwananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…