LGE2024 Mbeya: Sugu atahadharisha Wazazi kuhakikisha Watoto wao wa under 18 wasijiandikishe ili kutumika kwenye Uchaguzi, kitakachowapata wasimlilie Mtu

LGE2024 Mbeya: Sugu atahadharisha Wazazi kuhakikisha Watoto wao wa under 18 wasijiandikishe ili kutumika kwenye Uchaguzi, kitakachowapata wasimlilie Mtu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2024-10-14-20-02-06-1.png


Akizungumza kwenye Mkutano wa Hadhara kwenye Kata ya Iyunga, Joseph Mbilinyi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, amewatahadharisha wazazi kuchunga watoto wao ambao hawakutimiza miaka 18 ili wasiingie matatizoni kwa kutumika kujiandikisha kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Kitakachowapata wasije wakamlilia mtu

Screenshot_2024-10-15-11-32-44-1.png


Ikumbukwe kwamba Chadema Kanda ya Nyasa imeweka CALL CENTER kwa ajili Wananchi kuwasilisha hujuma zote zinazohusu Uandikishaji wa wapiga kura

Screenshot_2024-10-13-16-13-14-1.png


Tayari jambo hili muhimu limeanza kuleta tija baada hujuma kibao kuripotiwa na kufichuliwa.

Itakumbukwa Rais Samia jana aliwakumbusha Wananchi kwamba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usichukuliwe Poa, na ndivyo Kanda ya Nyasa inavyofanya.
 
Leo ndo nimeshtuka sasa ebwana huu uandikishaji ulishafanyika tangu August. Iko hivi mwezi August mtaani kwetu walipita watu wa CCM wakiongozwa na mwenyekiti eti walikua wanaandika majina ya wakazi wote wa mtaa ule😁😁...sasa nilivyosikia uchaguzi serikali za mitaa wanaandikisha majina tu ndo nikapata picha kua hawa jamaa wana mbinu kinoma za kuiba.
 
Leo ndo nimeshtuka sasa ebwana huu uandikishaji ulishafanyika tangu August. Iko hivi mwezi August mtaani kwetu walipita watu wa CCM wakiongozwa na mwenyekiti eti walikua wanaandika majina ya wakazi wote wa mtaa ule😁😁...sasa nilivyosikia uchaguzi serikali za mitaa wanaandikisha majina tu ndo nikapata picha kua hawa jamaa wana mbinu kinoma za kuiba.
Tutawadhibiti vibaya mno!
 
View attachment 3125575

Akizungumza kwenye Mkutano wa Hadhara kwenye Kata ya Iyunga, Joseph Mbilinyi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, amewatahadharisha wazazi kuchunga watoto wao ambao hawakutimiza miaka 18 ili wasiingie matatizoni kwa kutumika kujiandikisha kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Kitakachowapata wasije wakamlilia mtu

View attachment 3125561

Ikumbukwe kwamba Chadema Kanda ya Nyasa imeweka CALL CENTER kwa ajili Wananchi kuwasilisha hujuma zote zinazohusu Uandikishaji wa wapiga kura

View attachment 3125568

Tayari jambo hili muhimu limeanza kuleta tija baada hujuma kibao kuripotiwa na kufichuliwa.

Itakumbukwa Rais Samia jana aliwakumbusha Wananchi kwamba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usichukuliwe Poa, na ndivyo Kanda ya Nyasa inavyofanya.

Si itakuja mijitu mizima kutumia majina hayo siku ya kupiga kura?
 
Si Mbeya tu, vyanzo vyangu vinaniambia ni mikoa karibu yote.

Yaani wanafunzi wanafundishwa wizi wa kura wakiwa WADOGO.

Wakiwa na family zao, Maadili watayatoa wapi kuwafundisha watoto wao!
 
Dawa ni kuakikisha kila mtaa ,kitongoji nchi zima wapinzani wanasimamisha wagombea , na kila mgombea kuakikisha anao mawakala makini katika vituo vyake eneo husika ,tuone kura za kwenye vyumba vyao walizopiga kwa watu feki watazipitisha wapi ,

Katika hili ccm hawana washauri pamoja na yote watapigwa kama ngoma tu, kama wapinzani watajipanga vizuri
 
Si Mbeya tu, vyanzo vyangu vinaniambia ni mikoa karibu yote.

Yaani wanafunzi wanafundishwa wizi wa kura wakiwa WADOGO.

Wakiwa na family zao, Maadili watayatoa wapi kuwafundisha watoto wao!
Wasimlilie mtu
 
Back
Top Bottom