Mnataka kuwateka?View attachment 3125575
Akizungumza kwenye Mkutano wa Hadhara kwenye Kata ya Iyunga, Joseph Mbilinyi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, amewatahadharisha wazazi kuchunga watoto wao ambao hawakutimiza miaka 18 ili wasiingie matatizoni kwa kutumika kujiandikisha kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Kitakachowapata wasije wakamlilia mtu
View attachment 3125561
Ikumbukwe kwamba Chadema Kanda ya Nyasa imeweka CALL CENTER kwa ajili Wananchi kuwasilisha hujuma zote zinazohusu Uandikishaji wa wapiga kura
View attachment 3125568
Tayari jambo hili muhimu limeanza kuleta tija baada hujuma kibao kuripotiwa na kufichuliwa.
Itakumbukwa Rais Samia jana aliwakumbusha Wananchi kwamba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usichukuliwe Poa, na ndivyo Kanda ya Nyasa inavyofanya.
Utachomwa wewe!Leo nimejianfikusha vita haikimbiwi watoto wakae nyumbani tutawachoma moto,hii ni zaidi ya wizi wa simu.
View attachment 3125575
Akizungumza kwenye Mkutano wa Hadhara kwenye Kata ya Iyunga, Joseph Mbilinyi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, amewatahadharisha wazazi kuchunga watoto wao ambao hawakutimiza miaka 18 ili wasiingie matatizoni kwa kutumika kujiandikisha kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Kitakachowapata wasije wakamlilia mtu
View attachment 3125561
Ikumbukwe kwamba Chadema Kanda ya Nyasa imeweka CALL CENTER kwa ajili Wananchi kuwasilisha hujuma zote zinazohusu Uandikishaji wa wapiga kura
View attachment 3125568
Tayari jambo hili muhimu limeanza kuleta tija baada hujuma kibao kuripotiwa na kufichuliwa.
Itakumbukwa Rais Samia jana aliwakumbusha Wananchi kwamba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usichukuliwe Poa, na ndivyo Kanda ya Nyasa inavyofanya.
Kupiga kura ni lazima kwa wapenda maendeleo,ingawa inaweza ikawa ni ishara mbaya ya mifarakano na magomvi yasiyo na tija.View attachment 3125575
Akizungumza kwenye Mkutano wa Hadhara kwenye Kata ya Iyunga, Joseph Mbilinyi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, amewatahadharisha wazazi kuchunga watoto wao ambao hawakutimiza miaka 18 ili wasiingie matatizoni kwa kutumika kujiandikisha kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Kitakachowapata wasije wakamlilia mtu
View attachment 3125561
Ikumbukwe kwamba Chadema Kanda ya Nyasa imeweka CALL CENTER kwa ajili Wananchi kuwasilisha hujuma zote zinazohusu Uandikishaji wa wapiga kura
View attachment 3125568
Tayari jambo hili muhimu limeanza kuleta tija baada hujuma kibao kuripotiwa na kufichuliwa.
Itakumbukwa Rais Samia jana aliwakumbusha Wananchi kwamba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usichukuliwe Poa, na ndivyo Kanda ya Nyasa inavyofanya.
Hamna kitu mtafanya zaidi ya kufuata Sheria sababu chama Cha siasa Si jeshi kwamba litumie nguvu.Wasimlilie mtu
Mkuu kila siku nakuambia Wagombea wawezeshwe kwenye hizi Kampeni na hoja za nguvu tunazo tayari. Mawakala makini na jasiri wasimamie uchaguzi mbona hawa watapigika tu. Siku ya kuapishwa Mawakala pale Kinondoni walianza kuleta mizengwe tulikomaa sana mpaka wakalegea na wakaleta na magari ya Polisi. Alafu ujinga mwingine waliotaka kuuleta walitaka wasigonge mihuli kwenye viapo vya mawakala watu tukachachamaa wenyewe wakalegea.View attachment 3125575
Akizungumza kwenye Mkutano wa Hadhara kwenye Kata ya Iyunga, Joseph Mbilinyi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, amewatahadharisha wazazi kuchunga watoto wao ambao hawakutimiza miaka 18 ili wasiingie matatizoni kwa kutumika kujiandikisha kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Kitakachowapata wasije wakamlilia mtu
View attachment 3125561
Ikumbukwe kwamba Chadema Kanda ya Nyasa imeweka CALL CENTER kwa ajili Wananchi kuwasilisha hujuma zote zinazohusu Uandikishaji wa wapiga kura
View attachment 3125568
Tayari jambo hili muhimu limeanza kuleta tija baada hujuma kibao kuripotiwa na kufichuliwa.
Itakumbukwa Rais Samia jana aliwakumbusha Wananchi kwamba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usichukuliwe Poa, na ndivyo Kanda ya Nyasa inavyofanya.
Ngoja tusubiri.View attachment 3125575
Akizungumza kwenye Mkutano wa Hadhara kwenye Kata ya Iyunga, Joseph Mbilinyi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, amewatahadharisha wazazi kuchunga watoto wao ambao hawakutimiza miaka 18 ili wasiingie matatizoni kwa kutumika kujiandikisha kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Kitakachowapata wasije wakamlilia mtu
View attachment 3125561
Ikumbukwe kwamba Chadema Kanda ya Nyasa imeweka CALL CENTER kwa ajili Wananchi kuwasilisha hujuma zote zinazohusu Uandikishaji wa wapiga kura
View attachment 3125568
Tayari jambo hili muhimu limeanza kuleta tija baada hujuma kibao kuripotiwa na kufichuliwa.
Itakumbukwa Rais Samia jana aliwakumbusha Wananchi kwamba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usichukuliwe Poa, na ndivyo Kanda ya Nyasa inavyofanya.
Sugu HANA UWEZO wa kufanya chochote kwa hao watoto. Hiyo mikwara ya kipumbavu ibaki humu humu JF!View attachment 3125575
Akizungumza kwenye Mkutano wa Hadhara kwenye Kata ya Iyunga, Joseph Mbilinyi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, amewatahadharisha wazazi kuchunga watoto wao ambao hawakutimiza miaka 18 ili wasiingie matatizoni kwa kutumika kujiandikisha kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Kitakachowapata wasije wakamlilia mtu
View attachment 3125561
Ikumbukwe kwamba Chadema Kanda ya Nyasa imeweka CALL CENTER kwa ajili Wananchi kuwasilisha hujuma zote zinazohusu Uandikishaji wa wapiga kura
View attachment 3125568
Tayari jambo hili muhimu limeanza kuleta tija baada hujuma kibao kuripotiwa na kufichuliwa.
Itakumbukwa Rais Samia jana aliwakumbusha Wananchi kwamba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usichukuliwe Poa, na ndivyo Kanda ya Nyasa inavyofanya.
Nimekupata vizuri sanaMkuu kila siku nakuambia Wagombea wawezeshwe kwenye hizi Kampeni na hoja za nguvu tunazo tayari. Mawakala makini na jasiri wasimamie uchaguzi mbona hawa watapigika tu. Siku ya kuapishwa Mawakala pale Kinondoni walianza kuleta mizengwe tulikomaa sana mpaka wakalegea na wakaleta na magari ya Polisi. Alafu ujinga mwingine waliotaka kuuleta walitaka wasigonge mihuli kwenye viapo vya mawakala watu tukachachamaa wenyewe wakalegea.
Erythrocyte naendelea kukusisitiza Mkuu, Wagombea wapewe nguvu hasa kuelekea huu uchaguzi maana kero na hoja tunazo tukiziongea mbele ya Wananchi Upepo utabadilika na watajuta kwanini walikuwa wanaokoteza mamluki kuwaandikisha. Mawakala wapewe posho nzuri mbona itakuwa jino kwa jino. Waoga mnoo mbinu zao ni za kitoto na za kizamani sana.