Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Kazi kweliweli, huku Nchimbi anawaambia TAMISEMI walegeze kamba Demokrasia yetu bado changa, huku wanasema kila kitu kipo byeeee! Tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini

=====
Soma Pia:
Pongezi hizo zimetolewa na Mkazi wa mkoa wa Mbeya Yosia Mwakalagho ambapo amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita imeendelea kuwaka usawa katika demokrasia huku akiongeza kuwa wakazi wa Mkoa wa Mbeya wana imani na kanuni, taratibu na sheria zilizowekwa kuratibu uchaguzi katika maeneo mbalimbali
Kazi kweliweli, huku Nchimbi anawaambia TAMISEMI walegeze kamba Demokrasia yetu bado changa, huku wanasema kila kitu kipo byeeee! Tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini

=====
Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Ofisi ya Rais - TAMISEMI) imepongezwa kwa kuweka kanuni rafiki wakati wa uchaguzi wa kura za maoni kwa vyama mbalimbali ikiwa ni kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao utafanyika Novemba 27 mwaka huu.Soma Pia:
Pongezi hizo zimetolewa na Mkazi wa mkoa wa Mbeya Yosia Mwakalagho ambapo amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita imeendelea kuwaka usawa katika demokrasia huku akiongeza kuwa wakazi wa Mkoa wa Mbeya wana imani na kanuni, taratibu na sheria zilizowekwa kuratibu uchaguzi katika maeneo mbalimbali