Mwanongwa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2023
- 611
- 567
Hivi TARURA Mkoa wa Mbeya, kilichowafanya mkamwaga vifusi kwenye hii Barabara ya kutokea Shule ya Sekondari Sangu kuelekea Benki Kuu na kuviacha bila kusambaza ni nani?
Barabara ni mbovu mlivyoanza kumwaga vifusi tukajua mmekuja kututatulia tatizo lakini badala yake mmeongeza tatizo juu ya tatizo. Sambazeni hivyo vifusi bhana, haiwezekani tangu Mwaka jana (2024) vifusi mpaka leo vipo tu havijasambazwa.
Hii nayo imekuwa kero kubwa ni bora mngeiacha kama ilivyokuwa hii Barabara kuliko mlivyofanya, mmesababisha barabara imekuwa nyembamba na changamoto kupitika kwa wanaopita na magari.
Pia soma:
~ Hatimaye Vifusi vya Barabara ya Sangu (Mbeya) kuelekea Benki Kuu vilivyokuwa kero, vimesambazwa
~ Mbeya: Chemba ya Maji taka Mitaa ya Forest ya Zamani inamwaga maji ya kinyesi mtaani na inachukulia poa tu
Barabara ni mbovu mlivyoanza kumwaga vifusi tukajua mmekuja kututatulia tatizo lakini badala yake mmeongeza tatizo juu ya tatizo. Sambazeni hivyo vifusi bhana, haiwezekani tangu Mwaka jana (2024) vifusi mpaka leo vipo tu havijasambazwa.
Hii nayo imekuwa kero kubwa ni bora mngeiacha kama ilivyokuwa hii Barabara kuliko mlivyofanya, mmesababisha barabara imekuwa nyembamba na changamoto kupitika kwa wanaopita na magari.
Pia soma:
~ Hatimaye Vifusi vya Barabara ya Sangu (Mbeya) kuelekea Benki Kuu vilivyokuwa kero, vimesambazwa
~ Mbeya: Chemba ya Maji taka Mitaa ya Forest ya Zamani inamwaga maji ya kinyesi mtaani na inachukulia poa tu