Hivi TARURA Mkoa wa Mbeya, kilichowafanya mkamwaga vifusi kwenye hii Barabara ya kutokea Shule ya Sekondari Sangu kuelekea Benki Kuu na kuviacha bila kusambaza ni nani?
Barabara ni mbovu mlivyoanza kumwaga vifusi tukajua mmekuja kututatulia tatizo lakini badala yake mmeongeza tatizo juu ya tatizo. Sambazeni hivyo vifusi bhana, haiwezekani tangu Mwaka jana (2024) vifusi mpaka leo vipo tu havijasambazwa.
Hii nayo imekuwa kero kubwa ni bora mngeiacha kama ilivyokuwa hii Barabara kuliko mlivyofanya, mmesababisha barabara imekuwa nyembamba na changamoto kupitika kwa wanaopita na magari.
HATAREEE NA SIDHAN KAMA WAKUU WANAJUA..KUNA NJIA MOJA JAMAA ALIGOMA KUENDELEA NIKAIWASHA. HUMU MAKANDARASI WALIPWE. JAMAN KAZI HAMNA TAURA WEWEE MWEZI JAMA WAKO KAZINI..SASA HII YA MBEYA OFISI YENYEWE WALITANGAZA KAZI IPOO