mwanamasala
JF-Expert Member
- Jun 20, 2009
- 248
- 12
Mponjoli Malakasuka nafikiri is the only famous export from Mbeya region!
Hata mafraudsters wa Kinigeria hawamfikii!I guess hizi gari zote alikuwa ananunua cash,kutoka kwa carjackers!Kama pesa za EPA zimo ,ni very interesting,tunasubiri majina ya wafisadi hawa,ambao wametuharibia jina huko UK,Midlands!
Huyu mchungaji alimfungisha ndoa Mponjoli,shame to him!

Hata mafraudsters wa Kinigeria hawamfikii!I guess hizi gari zote alikuwa ananunua cash,kutoka kwa carjackers!Kama pesa za EPA zimo ,ni very interesting,tunasubiri majina ya wafisadi hawa,ambao wametuharibia jina huko UK,Midlands!
Huyu mchungaji alimfungisha ndoa Mponjoli,shame to him!