Mbeya Uyole & Mbulu: Nahitaji mashamba ya kilimo

Mbeya Uyole & Mbulu: Nahitaji mashamba ya kilimo

Brightg

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
372
Reaction score
662
Wanajamvi,

Naombeni msaada kama kuna mkazi wa Mbeya Uyole au Mbulu, nahitaji kukodi shamba heka kuanzia 2 ili nikalime huko maisha magumu huku mjini.

Kama yupo tafadhali naomba umsaada wa kupata shamba Mbeya Uyole au Mbulu kama inawezekana nipate mawasiliano yako tujadili kuhusu upatikanaji wa shamba na bei gani wanakodisha kwa Heka moja. Nataka kulima Mpunga, Viazi na vitunguu swaumu.

Karibuni
 
Mbulu si ndio mitaa inaunganika mpaka Manyara!kama ni hayo maeneo nilipita once msimu wa kilimo,ardhi ya kule ni very fertile...
 
Wanajamvi,

Naombeni msaada kama kuna mkazi wa Mbeya Uyole au Mbulu, nahitaji kukodi shamba heka kuanzia 2 ili nikalime huko maisha magumu huku mjini.

Kama yupo tafadhali naomba umsaada wa kupata shamba Mbeya Uyole au Mbulu kama inawezekana nipate mawasiliano yako tujadili kuhusu upatikanaji wa shamba na bei gani wanakodisha kwa Heka moja. Nataka kulima Mpunga, Viazi na vitunguu swaumu.

Karibuni
We Uyole hatulimi mpunga,tunalima viaz,njegere,mahindi,na ngano.kama unataka mpunga ni Mbalali na Kyela huko kukod kwa hekar ni kilo 2 ad kilo 1½
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Back
Top Bottom