Mwanongwa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2023
- 611
- 567
Habari ndugu zangu,
Hivi kulikuwa na haja gani Sasa ya kuwaandikisha wananchi Kwenye daftari la kupiga kura?
Maana huku Nsalaga mtaa wa Ntundu watu wanaingia Kwenye chumba Cha kupigia kura bila kukaguliwa majina Yao Kwenye daftari.
Kwa maana hiyo hata yule ambaye hakujiandikisha anaweza kupiga kura bila shida yoyote.
Soma Pia: Yanayojiri kuelekea uchaguzi Serikali za Mitaa mkoa wa Mbeya
Swali la kujiuliza kulikuwa na ulazima gani wa kutumia gharama kubwa Kuendesha shughuli ya uandikishaji wakati kupiga kura hakuna ulazima wa Jina kukaguliwa.
Yaani ukipanga foleni na kufanikiwa kuingia Kwenye chumba Cha kupigia kura basi umetoboa kupiga kura hata kama Jina lako halipo Kwenye daftari la mkazi.
Hivi kulikuwa na haja gani Sasa ya kuwaandikisha wananchi Kwenye daftari la kupiga kura?
Maana huku Nsalaga mtaa wa Ntundu watu wanaingia Kwenye chumba Cha kupigia kura bila kukaguliwa majina Yao Kwenye daftari.
Kwa maana hiyo hata yule ambaye hakujiandikisha anaweza kupiga kura bila shida yoyote.
Soma Pia: Yanayojiri kuelekea uchaguzi Serikali za Mitaa mkoa wa Mbeya
Swali la kujiuliza kulikuwa na ulazima gani wa kutumia gharama kubwa Kuendesha shughuli ya uandikishaji wakati kupiga kura hakuna ulazima wa Jina kukaguliwa.
Yaani ukipanga foleni na kufanikiwa kuingia Kwenye chumba Cha kupigia kura basi umetoboa kupiga kura hata kama Jina lako halipo Kwenye daftari la mkazi.