Pre GE2025 Mbeya: Waandikishaji wasaidizi wala kiapo kabla ya kuanza mafunzo ya jinsi ya kuandikisha wananchi kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Waandishi Wasaidizi na Waendesha vifaa vya Bayometriki wa Kata 33 za Wilaya ya Kyela, Mkoa wa Mbeya wakila kiapo kabla ya kuanza mafunzo ya siku mbili leo tarehe 23 Disemba, 2024.

Mafunzo hayo ni sehemu ya maandalizi ya zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaotarajiwa kufanyika katika mikoa ya Mbeya, Iringa na Dodoma katika Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa kuanzia tarehe 27 Desemba, 2024 hadi tarehe 02 Januari, 2024.


Vituo vya kuandikisha wapiga kura vitafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…