Mbeya: Wasanii watoa wimbo wa Kukemea matendo Maovu ya Polisi. Wamvaa RCO Andrew Kantimbo

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Tuseme Mbeya wameamua au ndo kawaida yao? Wanasema Andrew Kantimbo atawafunga, atawanyonga, atawapiga ila ajue sio Mungu.

Kwamba anacheza na Chanda cha Mungu.

Nashauri IGP amhamishe Mbeya sababu inaonekana Moyoni anachukiwa sana na Wananchi anao wasimamia.

Your browser is not able to display this video.
 
Inaonekana huyo mchungaji amefanikiwa kutengeneza mazombi yakutosha,yapo tayari kwa lolote. Atukudishie 2025 tupambane na UVCCM maana wanaandaa vikundi vya mauaji nchi nzima kwaajili ya uchaguzi ujao
Na Upinzani umelala.
 
Haki itamalaki uonevu uepushwe Nchi iwe na amani kamili
 
Nyie kenge wa humu,keshe mnipeleke polisi si mnajiona kenge?
Kenge nyie.
 
Usicheze na Wanyakusya kwenye Gospel wanaweza wakaitumia kukutandika nayo kisawasawa,Dj walete walete 🎶na round hii ni kenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…