Mbeya: Wazazi tutoe elimu ya chakula kwa Watoto wetu kuanzia nyumbani ili iwe tahadhari ya kujilinda na Kipindipindu

Mbeya: Wazazi tutoe elimu ya chakula kwa Watoto wetu kuanzia nyumbani ili iwe tahadhari ya kujilinda na Kipindipindu

Mwanongwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2023
Posts
611
Reaction score
567
DSC_0346.JPG

DSC_0373.JPG
Habari ndugu zangu, Wana jukwaa wenzangu hasa tunaoishi ndani ya Jiji chafu kuliko yote nchini, Jiji la Mbeya

Naomba leo niwape angalizo kidogo hasa sisi wenye Watoto ambao ni Wanafunzi, tujaribu kuwapa Elimu ya usafi na kujiepusha kula kula hovyo huko mashuleni.

Hali ya Kipindupindu ndani ya Jiji hili ni mbaya sana tena sana, Wagonjwa wamekuwa wakiongezeka kila siku, huku idadi ya vifo pia ikiongezeka.

Kutokana na hali hii hofu imekuwa kubwa huko shuleni ambako watoto wetu wanakwenda kusoma, je kutakuwa salama?

Taarifa nilizonazo ndugu yenu ni kwamba hospitali ya Igawilo imezidiwa na Wagonjwa wa kipindupindu, hivyo wameongeza Vituo vya kuwahudumia Wagonjwa wa kipindupindu ambavyo ni Iganzo na Ndanyela kilichopo Kata ya Iyunga.

Kitendo cha Kuongezea Vituo, hivyo ni ishara tosha kuwa kipindupindu kimetamalaki ndani ya Jiji la Mbeya.

Sasa nawaibia siri ninyi wenye mamlaka piteni ndani ya Soko la Sido Kuna migahawa ni michafu balaa.

Mwanongwa nawakumbusha tu ndugu zangu tuzingatie sana usafi katika maeneo yetu yanayotuzunguka ili kupambana na ugonjwa huu.

Serikali nayo imekuwa ikitoa taarifa kwa kusuasua kuhusu mwendeleo wa hali ya Ugonjwa wa Kipindipindu Mkoani hapa, sijui kwanini wanashindwa kuwa na uwazi ili watu wajue uhalisia na wajue hatua za kuchukua.

DSC_0377.JPG

DSC_0375.JPG

Pia soma:
~
Wagonjwa wa Kipindupindu wafikia 22 Mbeya, na Serikali imepiga kimya!
~ Utaratibu wa uzoaji Taka Jiji la Mbeya ni shida, zimezagaa mitaani licha ya Wananchi kulipa ili zizolewe
 
Habari ndugu zangu,Wana jukwaa wenzangu hasa tunaoishi ndani ya Jiji chafu kuliko yote nchini,Jiji la Mbeya

Naomba Leo niwape angalizo kidogo hasa sisi wenye watoto ambao ni wanafunzi,tujaribu kuwapa Elimu ya usafi na kujiepusha kula kula hovyo huko mashuleni .

Hali ya Kipindu pindu ndani ya Jiji hili ni Mbaya sana tena sana,wagonjwa wamekuwa wakiongezeka kila siku,huku idadi ya vifo pia ikiongezeka.

Kutokana na hali hii hofu imekuwa kubwa huko mashuleni ambako watoto wetu wanakwenda kusoma je kutakuwa salama?

Taarifa nilizonazo ndugu yenu nikwamba hospital ya Igawilo imezidiwa na wagonjwa wa kipindu pindu hivyo wameongeza Vituo vya kuwahidumia wagonjwa wa kipindu pindu ambavyo ni Iganzo na Ndanyela kilichopo kata ya Iyunga.

Kitendo Cha Kuongezea Vituo hivyo ni ishara tosha kuwa kipindu pindu kimetamalaki ndani ya Jiji la Mbeya.

Sasa nawaibia Siri ninyi wenye mamlaka piteni ndani ya Soko la Sido Kuna migahawa ni michafu balaa.

Mwanongwa nawakumbusha tu ndugu zangu tuzingatie sana usafi katika maeneo yetu yanayotuzunguka ili kupambana na ugonjwa huu.
 

Attachments

  • IMG-20250108-WA0018.jpg
    IMG-20250108-WA0018.jpg
    47.9 KB · Views: 3
Wizara ya Afya ingetangaza hali ya hatari Jijini hapo ili watu wachukue tahadhari!
Sijui kwenye vilabu vya Komoni na Kimpumu ikoje hapo.
 
Poleni..hapo sido msimu wa mvua huwa panatia kichefuchefu kwakweli sijui viongozi hawalioni hilo kutengeneza miundombinu hapo pakae vizuri
 
Habari ndugu zangu,Wana jukwaa wenzangu hasa tunaoishi ndani ya Jiji chafu kuliko yote nchini,Jiji la Mbeya

Naomba Leo niwape angalizo kidogo hasa sisi wenye watoto ambao ni wanafunzi,tujaribu kuwapa Elimu ya usafi na kujiepusha kula kula hovyo huko mashuleni .

Hali ya Kipindu pindu ndani ya Jiji hili ni Mbaya sana tena sana,wagonjwa wamekuwa wakiongezeka kila siku,huku idadi ya vifo pia ikiongezeka.

Kutokana na hali hii hofu imekuwa kubwa huko mashuleni ambako watoto wetu wanakwenda kusoma je kutakuwa salama?

Taarifa nilizonazo ndugu yenu nikwamba hospital ya Igawilo imezidiwa na wagonjwa wa kipindu pindu hivyo wameongeza Vituo vya kuwahidumia wagonjwa wa kipindu pindu ambavyo ni Iganzo na Ndanyela kilichopo kata ya Iyunga.

Kitendo Cha Kuongezea Vituo hivyo ni ishara tosha kuwa kipindu pindu kimetamalaki ndani ya Jiji la Mbeya.

Sasa nawaibia Siri ninyi wenye mamlaka piteni ndani ya Soko la Sido Kuna migahawa ni michafu balaa.

Mwanongwa nawakumbusha tu ndugu zangu tuzingatie sana usafi katika maeneo yetu yanayotuzunguka ili kupambana na ugonjwa huu.
Jiji la mbeya limekuwa likilalamikiwa sana kwa muda mrefu kwa hali ya uchafu. JFs imekuwa mstari wa mbele kutoa taarifa na maoni mbali mbali
 
Back
Top Bottom