Mbeya yaporomoka kielimu.Watendaji sasa wamlilia Mateo Qares

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
..hii ni baada ya kupata matokeo mabaya ktk mitihani ya taifa.

RAIA MWEMA said:
Mkoa wa Mbeya waporomoka kielimu
 
Hizo siasa za mbeya, majungu tupu. Mtavuna mlichopanda, mkoa unazidi kudoda.
 
Mateo Qares wa wapi huyo?

Mbeya kuna wasomi wengi na wenye uwezo wa juu kufanya mabadiliko, na
si Mateo peke yake bana. Mkuu wa Mkoa hatendi yeye.

Well alifanya kwa wakati wake, hayuko kwenye system tena, its over!

Kwanza Huyo Qaresi aliwaambia wananchi wa Mbeya 'Waone aibu kukaa kwenye nyumba za udongo na nyasi, maana ndizo zumesababisha wakumbwe na mafuriko!..si ni yeye?
 
kuna thread imesifia mbeya sana kumbe kuna hili pia ambalo ni la muhimu sana, rekebisheni fasta hali hii haipendezi maendeleo yenu yatakuja kutoka kwenu na sio kwa mtu yeyote
 

Huoni kwamba alisema ukweli??
 
Maneno mengi, vitendo vichache. Hata kuwe na maudhi kiasi gani, mwalimu aliyehitimu hawezi kufurahia matokeo mabaya.

Wanafunzi ni victims tu, kwanini iwe furaha kwa mwalimu kuona wanafunzi wanafeli?

Hakuna mikakati ya nguvu ya kupambana na elimu na hilo ni tatizo la nchi nzima. Juhudi ya pamoja inatakiwa ili kuwasaidia vijana wetu hasa walioko vijijini kuweza kutumia elimu ku chieve social mobility kama ambavyo viongozi wengi wa sasa walifanya huko nyuma.

Mkoa wa Mbeya unapoteza muda mwingi sana kwenye malumbano badala ya kuunganisha nguvu kwa pamoja ili kukabiliana na matatizo ya mkoa.

Kwenye uongozi sio lazima ufanye kazi na mtu mnayekubaliana kila kitu. Jambo muhimu ni kuweka pembeni tofauti zenu na kupambana kwa pamoja kwa faida ya hao mnaotaka kuwasaidia. Waliosema mtu hachagui jirani, hawakukosea. Hata kwenye uongozi, huwezi kuchagua mtu wa kufanya naye kazi.
 
Huoni kwamba alisema ukweli??

Embu kawaambie kauli hiyo wazazi wako kule kwenu Ugagagigikoko uone reaction yake!
The best thing ni kuwashauri labda wahame mabondeni, lakini si kuwashaua kwa vile wanakaa kwenye nyumba mbofumbofu, uwezo una-matter, Maisha bora yenyewe ndo hayo yameota mbawa!!
 
Boresheni mazingira ya kujisomea na kufundishia.
Walipeni walimu mishahara mizuri ili waache kupika vitumbua.
 
Shemeji zanguni,

Msipoweka mikakati ya nguvu hili suala la elimu litakuwa balaa huko mbeleni........na hiii sio kwa Mbeya pekee......bali kwa Taifa zima
 
Msipoweka mikakati ya nguvu hili suala la elimu litakuwa balaa huko mbeleni........na hiii sio kwa Mbeya pekee......bali kwa Taifa zima
It seems the whole education system needs to be reviewed. My take the current syllabus is outdated and the days of craming are done. No wonder foreign investors prefer foreign workers holding senior positions in their firms. I mean for staters who else uses ABBOT any more.
 
MNAMUONEA MATEO QUARESI....mpinzani wa kikwete....kwani mkuu wa mkoa saa ni nani .............na mateo si aliondoka pale miaka mingapi iliyopita??
 
Shemeji zanguni,

Msipoweka mikakati ya nguvu hili suala la elimu litakuwa balaa huko mbeleni........na hiii sio kwa Mbeya pekee......bali kwa Taifa zima
Mikakati haiko katikan kuboresha huduma za jamii ikiwemo elimu, mikakati ya sasa ni kulinda mafisadi na kupeana deal nao ili tuweze kuwa matajiri kwa miaka mingi inayokuja.
Tunasahau bomu tunalotengeneza kwa kuwa na watu wengi wasio na elimu katika jamii yetu.
 

....You are damn right!......Mwl A. Moshi aliwahi kulizungumzia hili jambo kwa kina sana hapa jamvini.......
 

Mshenzi sana huyu Qaresi, anasahau utumbo huu aliowambia wananchi wa MBeya wakati akiwa mkuu wa mkoa wa Mbeya.
 
MNAMUONEA MATEO QUARESI....mpinzani wa kikwete....kwani mkuu wa mkoa saa ni nani .............na mateo si aliondoka pale miaka mingapi iliyopita??

Huyu alianza kumchukia Rais KIKWETE baada ya kuacha kumteua kwenye baraza la Mawaziri na hata kumtoa kwenye ukuu wa mkoa hana lolote jipya bali anaendeleza chuki binafsi zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…