Mbezi Beach hakuna maji karibu wiki sasa huu ni zaidi ya mgao, mnatukomoa!

Mbezi Beach hakuna maji karibu wiki sasa huu ni zaidi ya mgao, mnatukomoa!

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Wakuu,

Inakribia wiki sasa Mbezi Beach hakuna maji, majibu ni yale yale tumepokea tunashughulikia/tunafanyia kazi, mara mafundi wanatoa upepo, lakini hakuna maji.

Halafu bili ikija laki😂😂. Mwaka huu kama ni mgao mnatumoa, yaani unapigwa kila upande, maji hupati na bili inakuja ya maana!

Wizara ya Maji tumechoka kwakweli! Kama ni kutubaragaza kwenye maji safari hii mmetuweza. Jua linakubamiza unarudi hata mwili upoe maji hakuna. Kwakweli Aweso Wizara ya Maji umekua zaidi ya kichomi umebaki kuleta maumivu tu kwa watu!

Screenshot_20250315_005617_WhatsApp.jpg
Screenshot_20250315_005632_WhatsApp.jpg
Screenshot_20250315_005914_WhatsApp.jpg
Screenshot_20250315_125437_WhatsApp.jpg
 
Huko Mbezi beach si ndio kuna nyumba ambazo kodi yake ni 5m kwa mwezi???

Halafu kuna changamoto ya maji kubwa kiasi hicho? Kweli wabongo mnajua sana kuibiana.
🤣🤣🤣🤣 nikiwa kwenye hiyo ya mirioni tano labda ndio ntaacha kulalamika na maji😅😅 niwe na likisima la kuhifadhi maji ya miaka 5🤣🤣🤣
 
Wakuu,

Inakribia wiki sasa Mbezi Beach hakuna maji, majibu ni yale yale tumepokea tunashughulikia/tunafanyia kazi, mara mafundi wanatoa upepo, lakini hakuna maji.

Halafu bili ikija laki😂😂. Mwaka huu kama ni mgao mnatumoa, yaani unapigwa kila upande, maji hupati na bili inakuja ya maana!

Wizara ya Maji tumechoka kwakweli! Kama ni kutubaragaza kwenye maji safari hii mmetuweza. Jua linakubamiza unarudi hata mwili upoe maji hakuna. Kwakweli Aweso Wizara ya Maji umekua zaidi ya kichomi umebaki kuleta maumivu tu kwa watu!

Waziri mswahili, Saa100 mswahili,
 
Wakuu,

Inakribia wiki sasa Mbezi Beach hakuna maji, majibu ni yale yale tumepokea tunashughulikia/tunafanyia kazi, mara mafundi wanatoa upepo, lakini hakuna maji.

Halafu bili ikija laki[emoji23][emoji23]. Mwaka huu kama ni mgao mnatumoa, yaani unapigwa kila upande, maji hupati na bili inakuja ya maana!

Wizara ya Maji tumechoka kwakweli! Kama ni kutubaragaza kwenye maji safari hii mmetuweza. Jua linakubamiza unarudi hata mwili upoe maji hakuna. Kwakweli Aweso Wizara ya Maji umekua zaidi ya kichomi umebaki kuleta maumivu tu kwa watu!

Wiki unalalamika!? Nipo mbez maguful(mpiji magohe) tangu mwez wa 1 hd leo haoijatoka hata tone
 
Wakuu,

Inakribia wiki sasa Mbezi Beach hakuna maji, majibu ni yale yale tumepokea tunashughulikia/tunafanyia kazi, mara mafundi wanatoa upepo, lakini hakuna maji.

Halafu bili ikija laki😂😂. Mwaka huu kama ni mgao mnatumoa, yaani unapigwa kila upande, maji hupati na bili inakuja ya maana!

Wizara ya Maji tumechoka kwakweli! Kama ni kutubaragaza kwenye maji safari hii mmetuweza. Jua linakubamiza unarudi hata mwili upoe maji hakuna. Kwakweli Aweso Wizara ya Maji umekua zaidi ya kichomi umebaki kuleta maumivu tu kwa watu!

Mitano tena.
 
Back
Top Bottom