Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Mpaka watu wanaanza kumkumbuka Magu, yaani ni kunyooshwa tuLazima tunyooke πππΎ
Kufanya hivi ni kulea uzembe na wizi kwa watu wa dawasa.Nunua tank kubwa la maji ,,,au hama jiji wapishe wanaomudu ! Kwa nn uteseke ?
Aloo kuna mpaka pump... maji yakija presha ni ndogo hata pump haina msaada!Nunua tank kubwa la maji ,,,au hama jiji wapishe wanaomudu ! Kwa nn uteseke ?
π€£π€£π€£π€£ nikiwa kwenye hiyo ya mirioni tano labda ndio ntaacha kulalamika na majiπ π niwe na likisima la kuhifadhi maji ya miaka 5π€£π€£π€£Huko Mbezi beach si ndio kuna nyumba ambazo kodi yake ni 5m kwa mwezi???
Halafu kuna changamoto ya maji kubwa kiasi hicho? Kweli wabongo mnajua sana kuibiana.
Waziri mswahili, Saa100 mswahili,Wakuu,
Inakribia wiki sasa Mbezi Beach hakuna maji, majibu ni yale yale tumepokea tunashughulikia/tunafanyia kazi, mara mafundi wanatoa upepo, lakini hakuna maji.
Halafu bili ikija lakiππ. Mwaka huu kama ni mgao mnatumoa, yaani unapigwa kila upande, maji hupati na bili inakuja ya maana!
Wizara ya Maji tumechoka kwakweli! Kama ni kutubaragaza kwenye maji safari hii mmetuweza. Jua linakubamiza unarudi hata mwili upoe maji hakuna. Kwakweli Aweso Wizara ya Maji umekua zaidi ya kichomi umebaki kuleta maumivu tu kwa watu!
Wiki unalalamika!? Nipo mbez maguful(mpiji magohe) tangu mwez wa 1 hd leo haoijatoka hata toneWakuu,
Inakribia wiki sasa Mbezi Beach hakuna maji, majibu ni yale yale tumepokea tunashughulikia/tunafanyia kazi, mara mafundi wanatoa upepo, lakini hakuna maji.
Halafu bili ikija laki[emoji23][emoji23]. Mwaka huu kama ni mgao mnatumoa, yaani unapigwa kila upande, maji hupati na bili inakuja ya maana!
Wizara ya Maji tumechoka kwakweli! Kama ni kutubaragaza kwenye maji safari hii mmetuweza. Jua linakubamiza unarudi hata mwili upoe maji hakuna. Kwakweli Aweso Wizara ya Maji umekua zaidi ya kichomi umebaki kuleta maumivu tu kwa watu!
Mitano tena.Wakuu,
Inakribia wiki sasa Mbezi Beach hakuna maji, majibu ni yale yale tumepokea tunashughulikia/tunafanyia kazi, mara mafundi wanatoa upepo, lakini hakuna maji.
Halafu bili ikija lakiππ. Mwaka huu kama ni mgao mnatumoa, yaani unapigwa kila upande, maji hupati na bili inakuja ya maana!
Wizara ya Maji tumechoka kwakweli! Kama ni kutubaragaza kwenye maji safari hii mmetuweza. Jua linakubamiza unarudi hata mwili upoe maji hakuna. Kwakweli Aweso Wizara ya Maji umekua zaidi ya kichomi umebaki kuleta maumivu tu kwa watu!
Kuna mtu anataka kila wilaya ianddike kitabu cha mafanikio ya Mamaπ πHalafu ukiwasikia majukwaani wanapoongea kujisifu itabaki mdomo wazi π€π€π€π€
π πLazima muishi kama mashetani