KERO Mbezi Beach kwa Zena hatuna maji siku ya 3 leo tatizo ni nini?

KERO Mbezi Beach kwa Zena hatuna maji siku ya 3 leo tatizo ni nini?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Wakuu kwema?

Leo ni siku ya tatu Mbezi Beach kwa Zena mtaa wa Mbezi Beach B hatuna maji.

Hakuna taarifa yoyote tuliyopewa juu ya mgao huu, mnafikiri tuko kwenye mazingira gani DAWASA?

Ni kama mmetuamulia wakazi wa huku, haipiti muda lazima tupate changamoto ya kutokuwa na maji kwa siku kadhaa. Mnakwaza jamani, mpaka watu wamenichoka hapa jukwaani kuleta malalamiko ya kutokuwa na maji.

Pia soma: Hatimaye maji yameanza kutoka Mbezi Beach kwa Zena, JF mbarikiwe
 
Kifo cha maji ni kifo tu mkuu.
😂😂😂 Mkuu usinichekeshe wakati niko kwenye majanga.... unapiga simu ya meneja wa Kawe haipatikani, sasa namba inawekwa ya nini hapo kama wateja tukihitaji huduma simu haipatikani hadi upige ile namba general?

Wanapokea hawaelezi chanzo, unaambiwa tu maji yanasambazwa, mpaka leo siku ya nne hola.

DAWASA Kawe ni mbuzi kabisa

Kukiwa na uwajibikaji hata kidogo tu nchini mambo mengi yatabadilika.
 
Bora ninyi hamjapata maji siku tatu tu sisi Huku mpigi, msakuzi na makabe hatuna huduma ya maji Toka tupate uhuru na ni km5 tu kutoka stendi kuu ya magufuli

Wizara ya Maji
 
😂😂😂 Mkuu usinichekeshe wakati niko kwenye majanga.... unapiga simu ya meneja wa Kawe haipatikani, sasa namba inawekwa ya nini hapo kama wateja tukihitaji huduma simu haipatikani hadi upige ile namba general?

Wanapokea hawaelezi chanzo, unaambiwa tu maji yanasambazwa, mpaka leo siku ya nne hola.

DAWASA Kawe ni mbuzi kabisa

Kukiwa na uwajibikaji hata kidogo tu nchini mambo mengi yatabadilika.
Pole mkuu kila kifo ni kifo tu tulishaambiwa😁😁😁
 
Bora ninyi hamjapata maji siku tatu tu sisi Huku mpigi,msakuzi na makabe hatuna huduma ya maji Toka tupate uhuru na ni km5 tu kutoka stendi kuu ya magufuli
Duh, poleni sana wakuu, hopefuly na hii itapaziwa sauti wawajibike
 
Duh, poleni sana wakuu, hopefuly na hii itapaziwa sauti wawajibike
Ilishapaziwa sana sauti Hadi wakaleta mabomba ili wachimbie lakini yaliishia kutekekezwa toka mwaka Jana mwezi wa nane Hadi Sasa hakuna dalili yeyote.watu wanatumia maji ya kisima ya watu binafsi Kwa bei kubwa
 
Wakuu kwema?

Leo ni siku ya tatu Mbezi Beach kwa Zena mtaa wa Mbezi Beach B hatuna maji.

Hakuna taarifa yoyote tuliyopewa juu ya mgao huu, mnafikiri tuko kwenye mazingira gani DAWASA?

Ni kama mmetuamulia wakazi wa huku, haipiti muda lazima tupate changamoto ya kutokuwa na maji kwa siku kadhaa. Mnakwaza jamani, mpaka watu wamenichoka hapa jukwaani kuleta malalamiko ya kutokuwa na maji.
Haoo jamaa wa pikpkk vibaka sana waulizen kama awajangoa mabomba
 
Wakuu kwema?

Leo ni siku ya tatu Mbezi Beach kwa Zena mtaa wa Mbezi Beach B hatuna maji.

Hakuna taarifa yoyote tuliyopewa juu ya mgao huu, mnafikiri tuko kwenye mazingira gani DAWASA?

Ni kama mmetuamulia wakazi wa huku, haipiti muda lazima tupate changamoto ya kutokuwa na maji kwa siku kadhaa. Mnakwaza jamani, mpaka watu wamenichoka hapa jukwaani kuleta malalamiko ya kutokuwa na maji.

Pia soma: Hatimaye maji yameanza kutoka Mbezi Beach kwa Zena, JF mbarikiwe
Taarifa ilitolewa awali kuhusu upungufu, unaweza tumia namba hii bila malipo 0800110064 au whatsapp 0735 202121
 
Back
Top Bottom