Mbezi mwisho-Bunju via Mbezi High School, lami inabaki kuwa kimini

Mbezi mwisho-Bunju via Mbezi High School, lami inabaki kuwa kimini

Kwasenga

Member
Joined
Feb 24, 2021
Posts
55
Reaction score
53
Nimeshangaa sana hii barabara kukosa tena kwenye bajeti ya mwaka ujao. Sasa lami itakuwa ikiyatoa mabasi stand yakapita mbezi high school kidogo lami inaishia hapo.

Kwa kweli ni maajabu sana. Hivi kwa ubusy wa ile barabara kweli unaweza kuiacha kwa miaka kumi yote??!

Kwa kweli nimeshangaa na ninashangaa zaidi. Tulidhani mbunge tumepata kumbe tumepatikana. 😂😂😂
 
Sasa kama mwananchi mwenyewe uandishi wako ndiyo hivi, unadhani hata mbunge atakuelewa?

Hebu soma tena halafu andika upya, otherwise hatutakusaidia kitu
 
Back
Top Bottom