Mbilia Belli Bado Anayaweza

Mbilia Belli Bado Anayaweza

n00b

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2008
Posts
1,015
Reaction score
2,680
dsc04281.jpg

Mbilia Bel akiimba kwa hisia kubwa sana moja ya nyimbo zake za enzi zileeeee,nafikiri mtakuwa mnazikumbuka.
dsc04291.jpg

“bado niko fiti”​



dsc042941.jpg

si mnamuona wenyewe,sasa msikose kesho pale new world cinema kuona mambo yake zaidi​
 
Hapana, huyu ameshakuwa zilipendwa; angalia hata style:

attachment.php
 

Attachments

Hapana, huyu ameshakuwa zilipendwa; angalia hata style:

attachment.php

Kwi! kwi! kwi!, Mkuu utakuwa humtendei haki huyo Ma'mkubwa,Tuangalie Kwasa kwasa na Mayenu hayo mengine tuyaache kwanza.
 
Hapana, huyu ameshakuwa zilipendwa; angalia hata style:

attachment.php

Mkuu,

kwanza kabisa chukua tano ya nguvu, umenichekesha kweli.

...Si bongo kuna joto la gredi..mpaka nanihino inatokwa na jasho!
 
Kweli ujana ni maji ya moto!Huyu mama enzi zake inaelekea alikuwa bomba mbaya manake nikacheki baadhi ya nyimbo zake kama boyaye she was looking so beautiful and sexy!
 
Haa haa haaaaaaa kwi kwi kwiiii Mkuu Kichuguu wewe ni JF Senior & Premium Member! Salute!
 
Kweli ujana ni maji ya moto!Huyu mama enzi zake inaelekea alikuwa bomba mbaya manake nikacheki baadhi ya nyimbo zake kama boyaye she was looking so beautiful and sexy!

mwaka 1986 aliweka onyesho pale Uwanja wa Taifa (wa zamani) wakati bado akishirikiana Tabu Ley. Huyu mama alikuwa mrembo kweli kweli, ila ukweli ni kuwa muda hautusubiri sote. Akiwa mrembo alichanganya wanaume kweli kweli katika kipindi cha kunzia 1984 hadi 1991.
 
mwaka 1986 aliweka onyesho pale Uwanja wa Taifa (wa zamani) wakati bado akishirikiana Tabu Ley. Huyu mama alikuwa mrembo kweli kweli, ila ukweli ni kuwa muda hautusubiri sote. Akiwa mrembo alichanganya wanaume kweli kweli katika kipindi cha kunzia 1984 hadi 1991.

...naam, naam,

kufuatia na onyesho jingine kabambe Diamond Jubilee... lakini ukweli unabakia baada ya kuondoka huyu mwana mama, Tabu Ley naye aliporomoka, hata kina Faya Tess hawakuweza ziba pengo...!

...bado wamo sana tu huyu mwanamama, hebu angalia nyonga na manjonjo yake ya jana, hata huyo mwan'dada wa nyuma yake hayawezi!!! (kwa hisani ya issamichuzi blog)


 
Kwani kuna binadamu asiyetoka jasho sehemu hizo hasa ukitilia maanani joto la Dar!? Labda mfu!!!
 
Back
Top Bottom