Mbinde mbinde,dk5 zaibeba simba

Tumu imecheza mechi 5 ina magoli 3! Idadi sawa na yale yaliyofungwa na Fei Toto! Daah
 
Mwakalebela alitaka kujitoa ligi kuu
Nabi alipewa mechi 2
kujisahau ndo ugonjwa wa yanga.gari limewaka
Gari halijawaka bado, Ila refa kaliboost kidogo tu. Ugonjwa bado upo palepale. Timu inastruggle sana
 
Eti utopolo wameshaanza kujiamini wakikutana na Simba wanashinda, hiyo wanzuki mliyolewa siku hiyo ndio tutawatapisha kwa Mkapa endeleeni kuota tu ndoto za alinacha.

Pamoja na kelele zenu zote hizi siku mki-draw game moja tu mnaanza kupigana.
 
Wana Simba wenzangu tuwe watulivu,tuiombee Timu yetu.Ktk maisha kuna milima na mabonde, hivyo tusikate tamaa.
 
Yaani pamoja na pre season ya Morocco bado unawaambia wavute subra!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…