The Whistleblower
JF-Expert Member
- Dec 9, 2022
- 247
- 434
Wachawi wapo lakini hujawahi kuwaona wakiroga,leo umeshiba kande unakuja hapa kuropoka Eti mbingu haipo,Kama Mbinguni kuna maisha mazuri, Kwa nini uombe kuishi maisha marefu Duniani?
Je hutaki kufa uende huko Mbinguni kwenye maisha mazuri?
Kama Hazina zetu zipo mbinguni, Kulikuwa na haja gani ya kuumbwa ulimwengu?
Mbingu ni dhana ya kufikirika Haipo, Na hata uwezekano wa kuwepo kwake, Haupo.
You can not wish for a house of gold in Heaven while you have never touched gold right here on Earth.
If you fail to live on Earth, The fantasy of heaven is an illusion.
Kwa hyo unadhani umeletwa duniani kuja kuzurura tu, kufanya uzinzi na machafu. Duniani tumeletwa Kwa dhumuni maalum na mwisho wa siku kuna malipokwa yale uliyoyatenda.Kama Mbinguni kuna maisha mazuri, Kwa nini uombe kuishi maisha marefu Duniani?
Je hutaki kufa uende huko Mbinguni kwenye maisha mazuri?
Kama Hazina zetu zipo mbinguni, Kulikuwa na haja gani ya kuumbwa ulimwengu?
Mbingu ni dhana ya kufikirika Haipo, Na hata uwezekano wa kuwepo kwake, Haupo.
You can not wish for a house of gold in Heaven while you have never touched gold right here on Earth.
If you fail to live on Earth, The fantasy of heaven is an illusion.
Upo sahihi 100% mkuu.ukiangalia UGUMU wa maisha ya kila kiumbe hapa DUNIANI., utaamini kuwa kama kweli maisha yaliumbwa, basi hayakuwa well planned...
Mtu akifa leo haendi mbinguni leo hii, bali analala mavumbini akisubiri marejeo ya Yesu. Yesu atakapokuja atawafufua waaminifu waliolala katika kristo kwa ajili ya ufalme wa mbinguni.Kama Mbinguni kuna maisha mazuri, Kwa nini uombe kuishi maisha marefu Duniani?
Je hutaki kufa uende huko Mbinguni kwenye maisha mazuri?
Kama Hazina zetu zipo mbinguni, Kulikuwa na haja gani ya kuumbwa ulimwengu?
Mbingu ni dhana ya kufikirika Haipo, Na hata uwezekano wa kuwepo kwake, Haupo.
You can not wish for a house of gold in Heaven while you have never touched gold right here on Earth.
If you fail to live on Earth, The fantasy of heaven is an illusion.
Unaweza kuthibitisha uchawi upo?Wachawi wapo lakini hujawahi kuwaona wakiroga,leo umeshiba kande unakuja hapa kuropoka Eti mbingu haipo,
Nani aliye tuleta?Kwa hyo unadhani umeletwa duniani kuja kuzurura tu, kufanya uzinzi na machafu. Duniani tumeletwa Kwa dhumuni maalum na mwisho wa siku kuna malipokwa yale uliyoyatenda.
Yesu hayupo.Mtu akifa leo haendi mbinguni leo hii, bali analala mavumbini akisubiri marejeo ya Yesu. Yesu atakapokuja atawafufua waaminifu waliolala katika kristo kwa ajili ya ufalme wa mbinguni.
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Mungu ni dhana ya kufikirika isiyo kuwepo.Ukitaka kujua wanadamu ni wanafiki mtu akifa utaskia "Mungu amempenda zaidi" lakini akianza kuomba utaskia "Mungu tunakushukuru kwa kutujalia Uhai, wapo ambao hawajaiona siku ya leo lakini ni kwa upendo wako mkuu na Neema sisi ni wazima" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nakemea roho zote ovu zikutoke😂😹🤣Ukitaka kujua wanadamu ni wanafiki mtu akifa utaskia "Mungu amempenda zaidi" lakini akianza kuomba utaskia "Mungu tunakushukuru kwa kutujalia Uhai, wapo ambao hawajaiona siku ya leo lakini ni kwa upendo wako mkuu na Neema sisi ni wazima" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
huwezi tesa swala au vyura eti kwasababu binadamu walikula tunda ulilowakataza....it doesn't make sense?....Upo sahihi 100% mkuu.
Kuna "blunder" kubwa kwenye "original design" ya maisha.
Wengi huwa wanafumbia macho hili suala kutokana na uoga uliopenyezwa kwenye imani zetu.
Ila kama wewe ni "clear thinker" na "free thinker" lazima utaliona hili.
Kongole mkuu.
Mbinguni hakuishi miili bali roho.. Kama unaweza kuiona roho basi utaiona mbingu.. Kama huwezi kuiona roho basi sahau kuiona mbingu! Limitations ziko hapoKama Mbinguni kuna maisha mazuri, Kwa nini uombe kuishi maisha marefu Duniani?
Je, hutaki kufa uende huko Mbinguni kwenye maisha mazuri?
Kama Hazina zetu zipo mbinguni, Kulikuwa na haja gani ya kuumbwa ulimwengu?
Mbingu ni dhana ya kufikirika Haipo, Na hata uwezekano wa kuwepo kwake, Haupo.
You can not wish for a house of gold in Heaven while you have never touched gold right here on Earth.
If you fail to live on Earth, The fantasy of heaven is an illusion.
Upo sahihi kabisa.huwezi tesa swala au vyura eti kwasababu binadamu walikula tunda ulilowakataza....it doesn't make sense?....
Nani aliye tuleta?
Ni nani huyo?
hata binadamu pamoja na UKATILI na uwendawazimu wake wote,.. bado hajafikia UKATILI kama huo,... nadhani hawa watu wanaoamini dini wana ubongo tofauti kidogo na ubongo wa binadamu wenye common sense....Upo sahihi kabisa.
Hata dhana ya "adhabu ya milele" kwa makosa/dhambi alizofanya mtu wakati wa uhai wake wa muda mfupi hapa duniani ina ukakasi.
What kind of justice is that?
Kama Mbinguni kuna maisha mazuri, Kwa nini uombe kuishi maisha marefu Duniani?
Je, hutaki kufa uende huko Mbinguni kwenye maisha mazuri?
Kama Hazina zetu zipo mbinguni, Kulikuwa na haja gani ya kuumbwa ulimwengu?
Mbingu ni dhana ya kufikirika Haipo, Na hata uwezekano wa kuwepo kwake, Haupo.
You can not wish for a house of gold in Heaven while you have never touched gold right here on Earth.
If you fail to live on Earth, The fantasy of heaven is an illusion.
Kifo kinathibitisha vipi Mungu yupo?Hivi unadhani ulikuja duniani Kwa ujanja wako tu, kama ni Kwa ujanja wako basi ina maana hata kifo unaweza ukakizuia ili usife.
Kwa nn watu wanazaliwa na wanakufa, kwa nn insingekuwa watu wanaishi milele? Ina maana kifo ni njia ya kurudi Kwa aliyekuumba. Kama humjui aliyekuleta duniani utakuja kumjua siku ambayo utafariki, na utajua ulikuwa mtu wa aina gani, aidha mtenda mema au maovu.
Mfano wako huu, Hauna mantiki na uhusiano wowote ule kuonesha uwepo wa mbingu.Kutokunywa beer kwako hakumaanishi hakuna beer