Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

huyo mkeo ana kazi....
mungu epushia mbali nisiolewa na mwanaume hata kubadilisha pampaz hawezi.......uanaume ni kumridhisha mkeo kitandani wewe Ruta na sio kuangalia mechi ya Man u wakati mkeo akihangaika na kuni za kupika....wale majuha waache waufate ushauri wako waingie mkenge.....:shock:
 
Chauro rafiki it takes a lot to make a home with someone, sema wengine bado wanadhani nyumba ikishawekwa furniture basi it's a home. Live your life the way you and your partner wants to, ya wanadamu waachie wenyewe maana ukisema uwasikilize unaweza ukaishia kuchanganyikiwa.
 
Ndo taabu ya wanamme
kujifanya wanajua watakayo wanawake


mtapanda milima sana, wakati kushuka hamwezi.

Babu unakuja na vihela mbuzi wakati mie CEO, utanipa nini?

Matirio hazitoshi jamani kubalini tu.

kama mkeo kakushinda hakuna jingine utakaloweza...............mdhibiti kabla hajakudhibiti..................a battle of the sexes, if you fail you are doomed forever..sijui hata Mwenyezi Mungu utamwambia nini?
 
Namba 1 mpaka 5...mmmh!
Dunia imeshabadilika, ni wachache sana watakao kufulia, kukupikia, maji bafuni siku hizi tumerahisishiwa kwa mabomba kuwepo bafuni, kuendesha gari, mimi huwa napenda kuendesha saa ya kwenda kwenye eneo la tukio, but saa ya kurudi yeye always ndio ma driver.
 
turudishe ndoa kwenye asili yake kama tunataka zidumu...........

Asili ya ndoa ni mwanamke kuwa kijakazi wa mwanaume..... Yaweza kuwa kweli maana zamani mke huchaguliwa ipi familia au Koo, ubaambiwa kaoe pale, kulikuwa hakuna MAPENZI, mwanamke wewe ndo ulikuwa wa yesyes tu.

Kwasasa Na ukata huu, mwanamke awe tegemezi tu, eti kumdhibiti, what if akigoma kufanya hayo.
 
asante,nikweli rafiki hapa akili changanya na zako.
 
nilishapoteza mudi naona unairudisha..kwa wale tunaojua kujali nyumba zetu hapo hata hujanikomoa....
 
kipipi usichojua ni kuwa exception is divorce....and unhappiness........tough choices......[MENTION]@kipipi[/MENTION]

Nadhani kamfano kadogo tu unakojaribu kuleta ni hadithi za mukulu kuwa head of the state, head of the govenment, commander in-chief of the armed forces and the chairman of the rulling party as well......ndo maana tupo hapa tulipo! Try not!!!!!!!
 
Hii imekaa kizamani zaidi. Kwa sasa mkw au mume wan fursa sawa katika maisha. Mengine ni aeewano tu kati ya mke na mme.
 

Afadhali na we umeliona hilo........!
 
Imenikumbusha movie moja jamaa wanadanganyana bar eti definition ya wife ni
Washing
Ironing
Food
Etcetera

Kumbe mmoja wao ndo kabisa yeye na mkewe wanafanya kazi kwa zamu; mwingine mkewe alimfanyizia mbaya baada ya kujifanya ana practice hiyo definition.
 
Tukio gani? Au wote mu waandishi wa habari? Nakutania.

 
Imenikumbusha movie moja jamaa wanadanganyana bar eti definition ya wife ni
Washing
Ironing
Food
Etcetera

tatizo hata hamsomi na mnaposoma hamelewi...................it is sad.....................ukisoma mbinu 5 za mwanzo ni kuhusu majukumu ya mke ambaye hupaswi kumwingilia.........na tano nyingine ni majukumu ya mume ambayo ni kumpenda kumheshimu na kubeba majukumu yako ya kulea familia yako............iko mbaya gani.................ukikataa moja kataa zote khalafu niambie hiyo ni familia au.....................
Kumbe mmoja wao ndo kabisa yeye na mkewe wanafanya kazi kwa zamu; mwingine mkewe alimfanyizia mbaya baada ya kujifanya ana practice hiyo definition.
 
Hii imekaa kizamani zaidi. Kwa sasa mkw au mume wan fursa sawa katika maisha. Mengine ni aeewano tu kati ya mke na mme.

gmosha48.....kizamani kumpenda na kumheshimu mkeo?[MENTION]@gmosha48[/MENTION]
 
Nimepata F,

Natumai ndoa yangu itavunjika kabla sijafa au ndo nasubiri hiyo pressure!!

Mhhh...Hili desa nadhani ni kasa!

Dark City kama humpendi na kumheshimu mkeo basi anza kuchimba kaburi.......................you have few days to live...........ukizama jikoni you also have few days to live...................God did not create you to cook, iron your clothes or even be in-charge of your laundry.......................[MENTION]@Dark City[/MENTION]
Babu DC!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…