Tukio gani? Au wote mu waandishi wa habari? Nakutania.
hahaha...lol, mmenifurahisha sana! acheni kuchokonoa mambo ya ndani ya familia!!Hata wewe umestuka nyumba kubwa?
Eti anampeleka wife wake kwenye tukio, really?
Babu DC!!
Nadhani kamfano kadogo tu unakojaribu kuleta ni hadithi za mukulu kuwa head of the state, head of the govenment, commander in-chief of the armed forces and the chairman of the rulling party as well......ndo maana tupo hapa tulipo! Try not!!!!!!!
nilishapoteza mudi naona unairudisha..kwa wale tunaojua kujali nyumba zetu hapo hata hujanikomoa....
Remmy fanya utafiti wako hata kwa majirani zako utagundua ya kuwa familia ambazo mwanaumme ndiye kiongozi wa ile familia ndiyo yenye furaha na malezi ya watoto wao huenda vyema...................familia ambayo wako mafahali wawili huwa na migogoro isiyo na mwisho na malezi ya watoto ni balaa................na furaha yako ni kuishi kwa furaha huku watoto wako wakipata misingi mizuri.............................mambo unayoyaita ni ya kizamani ndiyo yamejenga familia na hili la mwanamke kujivuni vijisenti ndiyo mwanzo wa vurugu katika familia........na mwanaumme kulazimishwa kazi za mke ni mwanzo wa majonzi na nyumba ndogo..................chunguza sana......utaafiki kuwa zamani ilikuwa bora kulikoni hivi sasaAsili ya ndoa ni mwanamke kuwa kijakazi wa mwanaume..... Yaweza kuwa kweli maana zamani mke huchaguliwa ipi familia au Koo, ubaambiwa kaoe pale, kulikuwa hakuna MAPENZI, mwanamke wewe ndo ulikuwa wa yesyes tu.
Kwasasa Na ukata huu, mwanamke awe tegemezi tu, eti kumdhibiti, what if akigoma kufanya hayo.
Namba 1 mpaka 5...mmmh!
Dunia imeshabadilika, ni wachache sana watakao kufulia, kukupikia, maji bafuni siku hizi tumerahisishiwa kwa mabomba kuwepo bafuni, kuendesha gari, mimi huwa napenda kuendesha saa ya kwenda kwenye eneo la tukio, but saa ya kurudi yeye always ndio ma driver.
kama babu lina mabomba mvua na yale mabwawa ya bafuni, nayo niyabebeje?
nimechukua namba 6 na 7 seriously........
Duh! kweli tuko tofauti, mie wangu anataka afanye kila kitu ila namkataza na nataka kumsaidia! kama hiyo ya kufua na kupika:shock:, namuonea huruma!!
Ukiweza kuongezea na 8 na 9 siku unataka small hausi nistue baba!
Afu wewe ruta, sasa kama sipiki mie na kufua atahakikishaje manake hizo kazi zinafanywa wakati mwanaume akiwa kazini, akifika nyumbani shughuli ni yeye na yeye ndo shughuli yangu! Inadhani kina NN wanafanyaje? Dada anaambiwa nakupikia dinner, he orders chinese, tupa maboksi kulee anavaa apron na kujipaka unga usoni. Simple!
Imenikumbusha movie moja jamaa wanadanganyana bar eti definition ya wife ni
Washing
Ironing
Food
Etcetera
Kumbe mmoja wao ndo kabisa yeye na mkewe wanafanya kazi kwa zamu; mwingine mkewe alimfanyizia mbaya baada ya kujifanya ana practice hiyo definition.
Ukiweza kuongezea na 8 na 9 siku unataka small hausi nistue baba!
Hizi mbinu ni muarobaini wa wake/ma-GF korofi na utawashikisha adabu...............nimeifupisha kutoka kwenye hii makala ya
Donts for husbands
1) Usifue nguo zako hata siku moja hakikisha anakufulia kwa mikono yake na hakuna mwanya wa kumwachia mtoto wa kazi. Yeye mwenyewe aliapa atakuhudumia na wala siyo kukasimu madaraka tajwa............
2) Usipike hata siku moja hakikisha ni mikono yake ndiyo inabeba haya majukumu na hakuna fursa ya kukasimu haya majukumu nyeti kabisa..............
3) Maji ya kuoga nalo ni jukumu lake kuyainjika na kukupelekea bafuni kwa mikono yake aache soooooooooooooooo.
4) Asiendeshe gari na wewe ukiwepo.
5)Akuchagulie nguo za kuvaa.
6) Lipa bili zote asilipe bili hata moja.......vijisenti vyake atajua nini ya kuvifanyia ili asije kudhani mpo sawa...
7) Hakikisha una ajira na kamwe usimtegemee kwa lolote lile
8) Usifilisike hata siku moja vinginevyo atakutawala tena kwa masimango kibao.........
9) Usimpige au kumnyanyasa au kumdhalilisha mkeo mbele ya kadamnasi ya watu............mpende kama kiapo chako kilivyokuwa.........
10) Usiwe mtu wa matumizi mabaya ya fedha hasa pati na marafiki na hivyo kumpa picha ya kuwa wewe ni mfujaji
Haya ni masharti ya kukwepa mwanandni wako kufikiri naye ni kidume ndani ya mahusiano yenu..........ukishindwa haya au kama ukijipima ukaona hupati maksi 80 au maswali nane kati ya kumi basi wewe unatawaliwa na mwanamke na mahusiano yenu yapo hatarini kuvunjika au wewe kuwa huna furaha maisha yako yote na utakufa kwa shinikizo la damu na ugonjwa wa moyo...................
amka jikomboe kutoka kwenye utumwa wa mwanamke..............
Kumbe sex haim-define wife?
9) Usimpige au kumnyanyasa au kumdhalilisha mkeo mbele ya kadamnasi ya watu............mpende kama kiapo chako kilivyokuwa.........
msikilize mkeo ana busara sana......................ukianza kumwingilia kwenye mnajukumu yake naye ataanza kukuingilia mwisho wake mtajiuliza hivi nani ni bosi hapa?............Mkifikia hapo hiyo siyo ndoa bali ni maigizo.................Be on top of her not only in bed but everywhere and you will live long and enjoy a blissful life................kinyume chake ni maumivu tena makali sana LoyalTzCitizen
Mh! Sikubaliani na wewe kwa namna moja ama nyingine kama hiyo #8 usikubali kufilisika kwani kufilisika watu huwa wanapenda au inajitokeza kama ajali tu? Pia #9 usimdhalilishe mbele ya watu je mwapo peke yenu chumbani unawajibu wa kumdhalilisha? Pamoja na hayo kumwachia kazi zote za ndani siyo issue maana kila mmoja anatakiwa kuwa msaada kwa mwenzie!
mapishi yako kama hayafahamu mna tatizo kubwa anatakiwa akionja tu ajue hayo ni yako au la............swala siyo kumdanganya bali suala ni kuyatambua majukumu ambayo Mwenyezi Mungu alikuumba uyatimize.............[MENTION]@King'asti[/MENTION]
Mh! Sikubaliani na wewe kwa namna moja ama nyingine kama hiyo #8 usikubali kufilisika kwani kufilisika watu huwa wanapenda au inajitokeza kama ajali tu? Pia #9 usimdhalilishe mbele ya watu je mwapo peke yenu chumbani unawajibu wa kumdhalilisha? Pamoja na hayo kumwachia kazi zote za ndani siyo issue maana kila mmoja anatakiwa kuwa msaada kwa mwenzie!
[h=2][/h]
kumbe haki zenu mwazijua sasa majukumu kwanini mnatafuta visingizio kebekebe? [MENTION]@King'asti[/MENTION]
Ofcoz hapo kwenye kupika its very easy na mie napenda chakula kizuri,lol. Kwenye kufua ntamnunulisha boonge la washing machine ili mambo yawe bien tu.
Ruta tuongee ukweli, wanaume majority siku hizi hiyo 6 hadi 10 ndo kizungumkuti. Haijalishi mtu akifilisika anaweza kutunzwa hadi ainuke, lakini wanaume hawana aibu kabisaaa! Kuna libaba na mke na watoto, linanitaka. Lakini kila likiniona online linaomba nilitumie zawadi. Analalamika namuitikia tu simtumii (tuko mji mmoja ila sijamuona mwaka wa 3 huu namkwepa shauri ya usumbufu). Namuambia zawadi haiombwi! Sasa huyu jamani natamani nimsake mkewe nimuulize vipi anahudumia nyumba kweli?