Mbinu Aliyotumia Ben Kuuza BIMA za Thamani ya US Dollar 13 Milioni!..

Mbinu Aliyotumia Ben Kuuza BIMA za Thamani ya US Dollar 13 Milioni!..

Seif Mselem

Senior Member
Joined
Oct 16, 2023
Posts
161
Reaction score
526
…mwaka 1942 katika Mji wa Liverpool nchini Uingereza…
.
Alikuwepo Muuzaji mmoja Hatari sana kuwahi kutokea aliyekuwa anaitwa…
.
“Ben Feldman”
.
Ben alikuwa anauza…“Life Insurance”
.
Ambazo Mfano wake ni Kama vile…
.
Bima za Afya
.
Bima ya Maisha
.
Nk…
.
Vile Vile…
.
Ben aliwahi kutajwa kama ndiye Muuzaji namba moja wa Bima kwa mujibu wa kitabu Maarufu cha Kumbukumbu za Record za Dunia…
.
"Guinness World Records"
.
Yaani…The Number One Salesman in the World!
.
…kipindi hicho Ben anauza BIMA Ohio, Liverpool
.
(Ambako alikuwa Akiishi na Familia yake)
.
Kulikuwa na Idadi ya watu chini ya… 20,000
.
Kutokana na Idadi ndogo ya watu na huku Akitaka kila anapomaliza Kufanya kazi Jioni arudi nyumbani kwake kwaajili ya Msosi wa Jioni na Familia...(Dinner)!
.
Ben aliamua Kuja na Mbinu moja Hatari ya Kuuza huduma zake bila Kuharibu Ratiba ya kazini Kwake na Familia yake…
.
Alikuja na Mbinu Inayoitwa…
.
“Geographical Strategy Selling”
.
Yaani…
.
Alikuwa anachora Duara kwenye Ramani ya Ukutani...Lenye Urefu wa mile 50 ambazo ni sawa na Kilomita Themanini (80 km)...
.
Kisha alikuwa anajiwekea Nidhamu ya...
.
Kufanya kazi zake Ndani ya hilo eneo la Duara alilochora Ili aweze kuwahi kurudi na kwenda kula Dinner na Familia yake
.
Na…
.
Baada ya Miaka 50 mbele eneo la Ohio, Liverpool lilibaki...
.
Kuuwa na Idadi ile ile ndogo ya watu na Ben alitumia kipande hicho hicho kidogo…
.
Kuwinda na kutafuta wateja wake kila siku na Mwisho hadi Siku anakufaa...
.
Alikuwa ameshatengeneza zaidi ya $ 13 Millioni kama Faida kwa kuuza Bima pekee yake!
.
Na...
.
Kuingia kwenye Rekodi ya Kitabu cha Guinness kama Muuzaji bora wa Muda wote.
.
So, Nini LESSON ya Story hii ya Ben?..
.
Ukweli ni Kwamba...
.
Hata wewe Kama uko kwenye Biashara yoyote ile kabla hujaanza kutangaza na kuipigia promo bidhaa/huduma unayouza kwenda Mitaa ya mbali au Mitandaoni…
.
Basi ANZA kwa Kuitangaza na Kuiuza kwa Majirani na watu wako wa Karibu na pale Unapoishi...
.
Kwasababu...
.
Watu wa karibu yako ni Watu ambao tayari...
.
Wanakupenda,
.
Wanakuamini,
.
Na...
.
Wanakuju...
.
Kwahiyo kununua kutoka kwako Inakuwa ni RAHISI Ukilinganisha na Wateja wako wengine!
.
Na...
.
Siku zote watu Hununua vitu kutoka kwa Waauzaji ambao ni kama Marafiki zako (Washikaji), na hii ni Kutokana na Kitu kimoja…
.
Kinaitwa… “Friendship Factor”
.
Kwahiyo kabla ya kwenda mbali ANZA na…
.
Rafiki zako...
.
Majirani zako...
.
Ndugu zako...
.
Wana Kikundi wenzako...
.
Na…
.
Watu wako wote wa Karibu
.
Tumia mbinu ya…
.
“Geographical Strategy Selling”
.
I Hope Umejifunza Kitu!
.
Uwe na Siku Njema!
.
Gracias [emoji1317]
.
Seif Mselem
 
Back
Top Bottom